#COVID19 Tusaidiane kumpata Spika na mstaafu Kikwete wakachanjwe. Itatusaidia

JK yupo uingereza kwenye kongamano, na pia kwa jinsi alivyo atakuwa alishapata chanjo kumbuka huyu jamaa alikuwa anavaa barakoa kila event the akaacha Ina maana alishapata chanjo.

JK hanaga mambo ya ujima labda huyo jamaa yenu wa kongwa
 
Thibitisha Mghwira amefariki kwa corona? anza na hilo. Then jikumbushe kama aliyewahi kuungua ndui na kupona alihitaji chanjo.
unabishana na taarifa ya familia yake?

Nimeshaona umekaa kimabishano, siwezi mabishano bila hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…