Tusaidiane kuweka mkeka wa leo na kesho!

Tusaidiane kuweka mkeka wa leo na kesho!

Charlie chaplin

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
336
Reaction score
312
wadau wa kuweka mkeka na kubet embu tupeane hints za mechi za leo ilituweze kupiga hela za chapchap! Mechi za leo na kesho ni nyingi hasa kama utaziunganisha!
 
Naona una hasira na kanjibhay na mzungu [emoji123]
Nina hasira nao sana ...hawa !...sasa nimeamua kwenda nao sawa kidogo kidogo....sina pupa!...wewe ingia kwenye hii blog uwezeshajimbadala utaona jinsi mikeka inavyochukua fedha!
 
Nina hasira nao sana ...hawa !...sasa nimeamua kwenda nao sawa kidogo kidogo....sina pupa!...wewe ingia kwenye hii blog uwezeshajimbadala utaona jinsi mikeka inavyochukua fedha!
Safi sana kijana..Bravo
 
Back
Top Bottom