mosktear
Member
- Nov 9, 2014
- 7
- 0
Mimi ni mfanyakazi katika mahali (mwajiriwa) hapa Dar ila kama unavyojua kwa maisha ya hapa mjini ajira pekee utachelewa sana kupata maendeleo hivyo nawaza kidogo nnachopata kwenye ajira huku nikitupie kwenye kilimo angalau kiongezeke ila sijui nianzie wapi hivyo niombe mawazo yenu wakuu na ushauri wenu kuhusu yafuatayo;
- Kilimo gani kitanifaaa niweze mudu ajira na kilimo chenyewe.
- maeneo kinapolimwa/stawi vizuri
- Upatikanaji wa mashamba, gharama za kuendesha kilimo chenyewe, upatikanaji wa masoko na yanapopatikana pia.
-msimu wa kilimo chenyewe.
Karibuni Wakuu nawasilisha kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
- Kilimo gani kitanifaaa niweze mudu ajira na kilimo chenyewe.
- maeneo kinapolimwa/stawi vizuri
- Upatikanaji wa mashamba, gharama za kuendesha kilimo chenyewe, upatikanaji wa masoko na yanapopatikana pia.
-msimu wa kilimo chenyewe.
Karibuni Wakuu nawasilisha kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app