Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Mm nakushauri ukibahatika kumkamata mwizi muinamishe umle haswa iwe fundisho kwa wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watakua Ni mafundi wako hao haoNimeweka grill.wamepita kwenye sehemu ya grill niliweka kama emergency door kama kuna dharura ya moto.
Hii ndio suluhisho kamili kabisa, tatizo ni kuwa binadamu tupo tofauti! Mtu anakuambia kabisa hiki nimeiba kwa mhindi na bado unanunuaSuluhisho ni watu kuacha kununua vitu vya wizi unaweza ukakuta unanunua sehemu vitu bei nzuri kumbe wametoka kukuibia mwezi uliopita