Tusaidiane ufafanuzi wa andiko hili...

Tusaidiane ufafanuzi wa andiko hili...

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Wasaalam,

TITO 2:11-13

Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanaadamu wote imefunuliwa, nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, Tupate kuishi kwa kiasi na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa, Tukilitazamia tumaini lenye Baraka na mafunuo ya Utukufu wa Kristo Yesu, MUNGU mkuu na Mwokozi wetu.

Binafsi ni msomaji mzuri wa vitabu vya karibu dini zote kuu, lakini nikiri wazi ,sijamaliza kusoma vyote wakati naliendea andiko hili ambalo linapatikana katika Kitabu cha Tito, Kutoka kwa Sauli nikatamani ufafanuzi zaidi nikazama Machimbo mbalimbali kupitia nami nikapata kuandika kwa kadri ., nlivyoelewa juu ya Uchambuzi wa Viongozi wa dini na waumin mbalimbali ambao una Ukinzani ndani yake.

Kabla sjaandika nilichonacho wadhani ningependa kushiriki pamoja juu ya Ufafanuzi wa Andiko hilo haswa haswa mstari wa 13, kwa kadri ulivyosoma au kuelewa.

Shukrani

NB: Haipo kwa ajili ya Kuleta mkwaruzano au mgogoro baina ya wachangiaji na waumini Hivyo ningependa ufafanuzi polite kwa ajili ya kutoana sintofahamu juu ya maandiko haya matukufu.
 
Wasaalam,

TITO 2:11-13

Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanaadamu wote imefunuliwa, nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, Tupate kuishi kwa kiasi na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa, Tukilitazamia tumaini lenye Baraka na mafunuo ya Utukufu wa Kristo Yesu, MUNGU mkuu na Mwokozi wetu.

Binafsi ni msomaji mzuri wa vitabu vya karibu dini zote kuu, lakini nikiri wazi ,sijamaliza kusoma vyote wakati naliendea andiko hili ambalo linapatikana katika Kitabu cha Tito, Kutoka kwa Sauli nikatamani ufafanuzi zaidi nikazama Machimbo mbalimbali kupitia nami nikapata kuandika kwa kadri ., nlivyoelewa juu ya Uchambuzi wa Viongozi wa dini na waumin mbalimbali ambao una Ukinzani ndani yake.

Kabla sjaandika nilichonacho wadhani ningependa kushiriki pamoja juu ya Ufafanuzi wa Andiko hilo haswa haswa mstari wa 13, kwa kadri ulivyosoma au kuelewa.

Shukrani

NB: Haipo kwa ajili ya Kuleta mkwaruzano au mgogoro baina ya wachangiaji na waumini Hivyo ningependa ufafanuzi polite kwa ajili ya kutoana sintofahamu juu ya maandiko haya matukufu.
Mbona Andiko limejifunua halina haja ya sherehe ima nyongeza![emoji123][emoji106]
 
Utukufu wa kristo yesu,MUNGU mkuu na muokozi wetu[emoji848][emoji848]
 
Kwamba Yesu kristo ndiye Mungu mkuu!! Haya,tawanyikeni mkatafute hela huko,kuanzia kesho mkate mdogo utauzwa tsh 1200 badala ya 1000!
 
Kwamba Yesu kristo ndiye Mungu mkuu!! Haya,tawanyikeni mkatafute hela huko,kuanzia kesho mkate mdogo utauzwa tsh 1200 badala ya 1000!
Bado unakula mkate?![emoji45]
Mimi asubuhi napakia dona na dagaa+tembele la nyanya nyingii au upolo wa ubwabwa na maharage ya nazi!
Nashushia maji ishakuwa full tank[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapoa kwenye mstari wa 13 mkuu unaonza na Tukilitizamia Tumaini lenye Baraka
Yesu atakuja kuwatoa watu wake kabla ya siku za taabu ambazo amezitabiri mwenyewe Math 24. Hilo ndio Tumaini la Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo
 
“Looking for that blessed hope, and the glorious appearing of the great God and our Saviour Jesus Christ;”
— Titus 2:13 (KJV)

Nafikiria shida inaweza kuwa translation kutoka kingereza kuja kwenye kiswahili.
Naona kama "the same verse in English doesn't compromise with the one in kiswahili. "
 
Utukufu wa kristo yesu ,MUNGU mkuu na muokozi wetu
Amina mkuu[emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]
[emoji116][emoji116]
Hakuna Mungu Apaswaye Kuabudiwa kwa Haki Ila Yesu na Paulo ni Mtume Wake


لا إله يستحق العبادة إلا يسوع وبولس من رسله
la 'iilah yastahiqu aleibadat 'iilaa yasue Wabulis min rusilh
[emoji123][emoji106][emoji109]
[emoji116][emoji116]

YN. 1:1-3,14 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
[emoji123][emoji2533][emoji106][emoji109]
[emoji116][emoji116]
YN. 1: 1-3 ، 14 في البدء كان الكلمة والكلمة كان عند الله وكان الكلمة الله. كانت تلك البداية مع الله. كل هذا حدث له. وبدونه لم يكن هناك شيء من هذا القبيل. والكلمة صار جسدا وحل بيننا. ورأينا مجده ، مجد المولود الوحيد من الآب ، المليء بالنعمة والحق. إنه مملوء نعمة وحقا.

[emoji116][emoji116]
YN. 1: 1-3 , 14 fi albad' kan alkalimat walkalimat kan eind allah wakan alkalimat allah. kanat tilk albidayat mae allah. kulu hadha hadath lah. wabidunih lam yakun hunak shay' min hadha alqabili. walkalimat sar jasadan wahala bynana. wara'ayna majdah , majd almawlud alwahid min alab , almali' bialniemat walhaq. 'iinah mamlu' niemat wahaqaa.
 
Mimi nielewavyo ni kwamba mpaka dakika hii, woote tunaiamini/ tunaithamini/tunaifuata dini moja " government " huku wahubiri wake wakuu wakiwa ni wahuni fulani tukiwaita "wanasiasa, wafanyabiashara, wafanya maamuzi na wengineo, na misingi yake mikuu ikiwa ni Media, kodi, historia, propaganda, science, mifumo ya kibenki,

Alafu woote tunakula kiapo na mfumo unaoitwa Authority, wao ndio wanaamua sasa wakuchezeshe ngoma gani. Hivyo basi naweza sema

Dini na Serikali havijawahi kuwepo duniani na havitakuwepo kamwe bali kuna "authority"
Hapo ndipo utakutana na mifumo na mifumuo, sheria na adhabu kwa ajili tu ya maslahi ya kikundi cha wahuni wachache kwa misingi ya kututawala na kutufanya vile wapendavyo, kupitia historia, biashara, dini, sayansi, mifumo ya kibenki, vyakula na mengineyo.

Hivyo basi, kwa yule aamini na asiyeamini woote cha moto tutakiona kwa namna ya vile unavyoishi, utatawaliwa, utapangiwa cha kufanya pindi tu ukizaliwa tayari unapandikizwa ujinga kwa kupewa jina, kitendo tu cha kupewa jina( la kiislam, la kikristo, la kiyahudi, la kipagani, ki budha ama ki hindu ama ki vyovyote vile hapo tayari utumwa unaanzia hapo, uhuru unaishia hapo, utarithishwa imani ya waliokutangulia bila kujali maamuzi yako binafsi, mpaka unakuja kujitambua unajikuta upo upande ambao huna hakika kama ni sahihi ama laa, ukienda shuleni unakutana na walimu ambao nao wako programed kitambo, wanakulisha matango pori, ukienda hospital unakutana na madaktari ambao nao wanatembea na formula ambazo sio, ukirudi uraiani unakutana na kitu kinaitwa serikali, imekutegeshea kodi, na sheria, unakuwa umepigwa pini kote kote, uamuzi wako wa mwisho unaachiwa uhuru wa kuabudu tu, sasa utajua mwenyewe uabufu nini..

Sikubaliani na dini yoyote ile!
 
Mimi nielewavyo ni kwamba mpaka dakika hii, woote tunaiamini/ tunaithamini/tunaifuata dini moja " government " huku wahubiri wake wakuu wakiwa ni wahuni fulani tukiwaita "wanasiasa, wafanyabiashara, wafanya maamuzi na wengineo, na misingi yake mikuu ikiwa ni Media, kodi, historia, propaganda, science, mifumo ya kibenki,

Alafu woote tunakula kiapo na mfumo unaoitwa Authority, wao ndio wanaamua sasa wakuchezeshe ngoma gani. Hivyo basi naweza sema

Dini na Serikali havijawahi kuwepo duniani na havitakuwepo kamwe bali kuna "authority"
Hapo ndipo utakutana na mifumo na mifumuo, sheria na adhabu kwa ajili tu ya maslahi ya kikundi cha wahuni wachache kwa misingi ya kututawala na kutufanya vile wapendavyo, kupitia historia, biashara, dini, sayansi, mifumo ya kibenki, vyakula na mengineyo.

Hivyo basi, kwa yule aamini na asiyeamini woote cha moto tutakiona kwa namna ya vile unavyoishi, utatawaliwa, utapangiwa cha kufanya pindi tu ukizaliwa tayari unapandikizwa ujinga kwa kupewa jina, kitendo tu cha kupewa jina( la kiislam, la kikristo, la kiyahudi, la kipagani, ki budha ama ki hindu ama ki vyovyote vile hapo tayari utumwa unaanzia hapo, uhuru unaishia hapo, utarithishwa imani ya waliokutangulia bila kujali maamuzi yako binafsi, mpaka unakuja kujitambua unajikuta upo upande ambao huna hakika kama ni sahihi ama laa, ukienda shuleni unakutana na walimu ambao nao wako programed kitambo, wanakulisha matango pori, ukienda hospital unakutana na madaktari ambao nao wanatembea na formula ambazo sio, ukirudi uraiani unakutana na kitu kinaitwa serikali, imekutegeshea kodi, na sheria, unakuwa umepigwa pini kote kote, uamuzi wako wa mwisho unaachiwa uhuru wa kuabudu tu, sasa utajua mwenyewe uabufu nini..

Sikubaliani na dini yoyote ile!
Hakuna Neutral ground bro[emoji23][emoji23][emoji23]
 

Titus 2:11-13
King James Version

11 For the grace of God that bringeth salvation hath appeared to all men,
12 Teaching us that, denying ungodliness and worldly lusts, we should live soberly, righteously, and godly, in this present world;
13 Looking for that blessed hope, and the glorious appearing of the great God and our Saviour Jesus Christ;
 
Mimi nielewavyo ni kwamba mpaka dakika hii, woote tunaiamini/ tunaithamini/tunaifuata dini moja " government " huku wahubiri wake wakuu wakiwa ni wahuni fulani tukiwaita "wanasiasa, wafanyabiashara, wafanya maamuzi na wengineo, na misingi yake mikuu ikiwa ni Media, kodi, historia, propaganda, science, mifumo ya kibenki,

Alafu woote tunakula kiapo na mfumo unaoitwa Authority, wao ndio wanaamua sasa wakuchezeshe ngoma gani. Hivyo basi naweza sema

Dini na Serikali havijawahi kuwepo duniani na havitakuwepo kamwe bali kuna "authority"
Hapo ndipo utakutana na mifumo na mifumuo, sheria na adhabu kwa ajili tu ya maslahi ya kikundi cha wahuni wachache kwa misingi ya kututawala na kutufanya vile wapendavyo, kupitia historia, biashara, dini, sayansi, mifumo ya kibenki, vyakula na mengineyo.

Hivyo basi, kwa yule aamini na asiyeamini woote cha moto tutakiona kwa namna ya vile unavyoishi, utatawaliwa, utapangiwa cha kufanya pindi tu ukizaliwa tayari unapandikizwa ujinga kwa kupewa jina, kitendo tu cha kupewa jina( la kiislam, la kikristo, la kiyahudi, la kipagani, ki budha ama ki hindu ama ki vyovyote vile hapo tayari utumwa unaanzia hapo, uhuru unaishia hapo, utarithishwa imani ya waliokutangulia bila kujali maamuzi yako binafsi, mpaka unakuja kujitambua unajikuta upo upande ambao huna hakika kama ni sahihi ama laa, ukienda shuleni unakutana na walimu ambao nao wako programed kitambo, wanakulisha matango pori, ukienda hospital unakutana na madaktari ambao nao wanatembea na formula ambazo sio, ukirudi uraiani unakutana na kitu kinaitwa serikali, imekutegeshea kodi, na sheria, unakuwa umepigwa pini kote kote, uamuzi wako wa mwisho unaachiwa uhuru wa kuabudu tu, sasa utajua mwenyewe uabufu nini..

Sikubaliani na dini yoyote ile!
Aiseee
 

Titus 2:11-13​

King James Version​

11 For the grace of God that bringeth salvation hath appeared to all men,
12 Teaching us that, denying ungodliness and worldly lusts, we should live soberly, righteously, and godly, in this present world;
13 Looking for that blessed hope, and the glorious appearing of the great God and our Saviour Jesus Christ;
Hapa kwenye Great God bado nina ukungu, nahitaji ufafanuzi zaidi
 
Back
Top Bottom