Naomba mtusaidie Elimu kuhusu taratibu za Upokeaji wa Summons. Je, ni Nani anapaswa kubeba summons kutoka mahakamani kumpelekea Mdaiwa? Je, Ni yeyote Yule au kuna mtu maalumu?
Je, kuna muda maalumu (namaanisha masaa ya kazi) au saa yoyote Ile ata saa 7 za usiku ni sahihi?
Je, ni sahihi kumpelekea summons Mdaiwa siku 1 au 2 kabla ya siku ya kesi wakati mahakama imetoa summons siku 28 kabla ya kesi, na Mdaiwa amekaa nayo (ameificha) anavizia siku mbili kabla ndio akuletee?
Je, kuna muda maalumu (namaanisha masaa ya kazi) au saa yoyote Ile ata saa 7 za usiku ni sahihi?
Je, ni sahihi kumpelekea summons Mdaiwa siku 1 au 2 kabla ya siku ya kesi wakati mahakama imetoa summons siku 28 kabla ya kesi, na Mdaiwa amekaa nayo (ameificha) anavizia siku mbili kabla ndio akuletee?