Tusanue apps zipi unatumia zinakurahishia kwenye nyanja tofauti

Tusanue apps zipi unatumia zinakurahishia kwenye nyanja tofauti

Wazee wa kuedit videos na picha za biashara hapo ndo penyewe
 

Attachments

  • IMG_1518.png
    IMG_1518.png
    4.1 MB · Views: 12
wewe dada unapenda sana mambo ya vizazi,nakuona sana kwenye mada za kutusuana vizazi napata mashaka na kizazi chako...[emoji1787]
Dah eti kutusuana vizazi [emoji3]
 
ni app ya meseji hiyo kuna setup ukifanya hata simu umuachie mkeo au mshangazi wako mwaka utatumiwa meseji za mademu hazioni ata itumwe muda huu na simu anayo kaishika kwenye meseji ngoma haitokei kwenye chatbackground ila ukiishika mwenyewe chap unasoma akija gafla unagusa fingerprint zinayayuka au unapiga home botton ukiingia tena huzikuti

mwisho ukiset no screenshot hakuna raia atascreenshot au kucheza na recent
Mood Messenger hiyo, niliamuaga kulipia premium kabisa toka 2018.... Hiyo feature ya kuficha SMS chap kama ukifumwa inaitwa "Panic Button" yaani ukii activate alafu ukafumwa unasoma meseji mbovu unaclick tu fingerprint kila kitu kinayeyuka 😂 hatojua kabisa zimepotea poteaje atahisi labda ulikua unasoma memes za mtandaoni tu..
 
Waafrika bana, yaani nasoma comment nikitafuta anayesanua kuhusu app ya kuongeza ufanisi kwenye jitihada za kimaisha, nyingi ni mambo ya streaming na sijui kuficha sms za kufumaniana, tunakwama wapi.
 
Mood Messenger hiyo, niliamuaga kulipia premium kabisa toka 2018.... Hiyo feature ya kuficha SMS chap kama ukifumwa inaitwa "Panic Button" yaani ukii activate alafu ukafumwa unasoma meseji mbovu unaclick tu fingerprint kila kitu kinayeyuka 😂 hatojua kabisa zimepotea poteaje atahisi labda ulikua unasoma memes za mtandaoni tu..
😂😂
 
Waafrika bana, yaani nasoma comment nikitafuta anayesanua kuhusu app ya kuongeza ufanisi kwenye jitihada za kimaisha, nyingi ni mambo ya streaming na sijui kuficha sms za kufumaniana, tunakwama wapi.
Wenzako wametaja zinazowakwamua kwenye streaming na sms kuficha, wewe hiyo inayorahisisha maisha itoe wewe.
 
Tusanue apps zipi unatumia kwenye simu, Android OS au iOS Ambazo zinakurahishia kwenye nyanja tofauti.
Tuambie na namna ya kuzipata.

Mfano:
View attachment 2995740View attachment 2995742
Hii unaweza kuipata kwa kuidownload kutumia browser yako maana haipo playstore wala appstore.

Inarahisisha kwenye ku-copy captions na comment kwenye post yoyote.
Pia unaweza ku-download picha au video yoyote kutoka insta ata kama ni ads.



App nyingine ambayo naikibali sana ni OnStream, hii naweza kutizama movies au series na kuzidownload pia kutumi SPlayer. Yani hamna tozo ni bando lako tu.

Hii app ni kwa watumiaji wa os ya Android tu kwa sasa. Unaweza kuinstall kwenye tv au kifaa chochote chenye os ya Android

TUSANUE APP YOYOTE INAYOKUWEZESHA KU-PUSH MIPANGO.

KARIBUNI WATAALAMU.
Hio instaGold Icon yake ipoje maana zipo nyingi.
 
Kwangu ni hii ViMusic ni app ya kustream music, inatumia YouTube music Library ila yenyewe ni free haina kucreate account na nyimbo zoote unazo stream ukiwa na bando hadi wimbo ukaisha ukimaliza kuustream unabakia offline milele labda wewe uufute.

Ina allow ku create Playlist zako offline, kwa sisi wa bando la mawazo inakuwezesha kupata nyimbo kwa High quality ambazo unaweza sikiliza hata ukiwa huna bando baada ya kuwa uliplay ukaisha

Changamoto yake ni kwamba huwezi sikiliza online na bando lako bila VPN mpaka upate VPN ikupe yenye server za ulaya, kwangu Nchi zinazofanya vizuri ni UK na France, VPN ninayotumia mara nyingi ni HA tunnel.

Hii app haiko play store.

View attachment 2996188View attachment 2996189
Mkuu nimeipata lakini kila nikifungua nyimbo hailii inaandika hivo , nakosea wapi
 

Attachments

  • Screenshot_20241202-120903.png
    Screenshot_20241202-120903.png
    347.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20241202-120914.png
    Screenshot_20241202-120914.png
    121.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241202-121121.png
    Screenshot_20241202-121121.png
    56.9 KB · Views: 3
SmartBusiness app
-----
SmartBusiness ni program ya usimamizi wa biashara ambayo itakuwezesha kusimamia taarifa za mauzo, matumizi, manunuzi ya stock, kufahamu bidhaa zilizobaki kwenye stock, madeni ya wateja na yale unayodaiwa na suppliers, kusimamia malipo ya wateja wanaolipa kidogo kidogo n.k pamoja na kupata ripoti ya mwenendo wa biashara yako.

Kwa nini Unahitaji SmartBusiness hivi sasa kwenye biashara yako?

Urahisi wa Kutunza Kumbukumbu - Inarahisisha ufuatiliaji wa mauzo, manunuzi, na gharama za biashara kwa urahisi.

Usimamizi wa Fedha - Hutoa ripoti za kifedha kwa muda mfupi na inasaidia kupanga bajeti na kutathmini faida na hasara.

Ufuatiliaji wa Malipo - Inawezesha kufuatilia malipo ya wateja na mikopo wanayodaiwa.

Usimamizi wa Wateja na Wauzaji - Inasaidia kutunza taarifa za wateja na wauzaji kwa urahisi

Usimamizi wa Stoo/bidhaa - Inafuatilia bidhaa zilizo stoo na inakupa taarifa za bidhaa zilizokwisha au karibu kumalizika

Rahisi Kutumia - Ni rahisi na rafiki kwa mtumiaji, haihitaji hata D moja ili kuweza kuitumia

Inarahisisha usimamizi wa usambazaji wa bidhaa kwa wateja (Delivery)

Inakuwezesha kurekodi taarifa za wateja wanaolipa kidogo kidogo

Android: SmartBusiness -Bookkeeping App - Apps on Google Play

iPhone: https://apps.apple.com/app/smartbusiness-bookkeeping-app/id6504250445
 
App nzuri ngoja niipakue
Ukilipia premium vitabu vyako vinakua synchronized to google drive, unaweza kusikiliza audio book while screen iko off, untweka audio speed unayotaka na future nyengine kibao, nakushauri lopia premium uta enjoy.halafu na high quality audio.
5944.png
 
Back
Top Bottom