TUSD Mabadiliko katika sarafu bandia Tanzania

TUSD Mabadiliko katika sarafu bandia Tanzania

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043
Wadau ni muda umepita sasa Bila kugusia sarafu bandia, lakini ni wakati sasa wa kuangalia kuhusu hizi sarafu bandia na wengi mnaoelewa muwaepushe watanzania na ponzi scheme.

Jambo kubwa naweza sema hapa ni usalama wa pesa zetu kwasabu coin zipo nyingi baadhi ni stable na baadhi ni unstable, sasa swali ni je serikali imejipanga vipi kulinda sarafu ambazo ni stable na je ziko audited ili kuepusha inflation.

Kuna baadhi ya kampuni zinanunua mafuta na bidhaa nyingine kwa usdt lakini usdt iko backed na us dollar, na tunaelewa US wanaweza kuprint dollar, na eamekubali kuback usdt kwasabu wanaweza kutrace je vipi kama USDT 1 ikiwa sawa na tsh 0.000 afu US wanacontrol every cryptocurrency .

Lastly
Tuangalie Sana crypto hata kama ni big farm shit it's risky lakini tunahitaji safe crypto control ili tuepuke mazigizaga.

snipa
 
US haijakubali kuback USDT wala stable coin yoyote na haihusiani na hizo stable coin.

"Stable" ni maneno ya mwanzishaji hiyo coin hata wewe kesho unaweza kuanzisha coin ukadai ni "stable", stable coin kimantiki inabidi kila dolla 1 ya coin kuwe kuna dolla moja ya asset za USD ila ukiangalia "ushahidi" wa USDT kuwa wana hizo assets unatia mashaka makubwa.

Pia kumbuka TerraUSD, USDD, DEI zote zilikuwa "stable" coin na zikaporomoka mpaka zero, so buyer beware.

Serikali ya TZ haitambui coin yoyote na walishatoa mwongozo kuwa ni kinyume na sheria na ni at your own risk.
This is to advise members of the public against trading, marketing and usage of virtual
currency because doing so is contrary to existing foreign exchange regulations. - BOT
 
Back
Top Bottom