Tuseme nchi ingekuwa ni mwanamke, Je nchi gani ingekuwa mrembo, au labda nchi gani ingekuwa na 'chura nzuri' zaidi.

Tuseme nchi ingekuwa ni mwanamke, Je nchi gani ingekuwa mrembo, au labda nchi gani ingekuwa na 'chura nzuri' zaidi.

CCM Music

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
1,036
Reaction score
1,784
Nchi huwa kuna mahali wanaita 'she' or 'her'.

Sasa tuseme kwa mfano: Tanzania ingekuwa na shape gani labda? Au Kenya ingekuwa na sura gani labda?
 
Nikisikia au kuona Nigeria, kuna picha ya wanawake wa nigeria inanijia kabisa, ni wanawake fulani, kwanza ni weusi, wengi ni wafupi. Isitoshe ni wale wanawake wa haleluya sana. Jua limewakomaza. picha hiyo hiyo ndiyo inanijia kwa wanawake wa kenya. Kwa tanzania naiona picha ya mwanamke fulani, siyo wa umri ulioenda, ila ni mwanamke aliyezaa tayari, sema hajakongoloka sana, tuseme amezaa watoto wawili, akafunga uzazi.
Na akipita sehemu, anaita.
Akivaa siketi fupi ana mapaja fulani ya kibarmaid hivi, na michirizi kwa mbali.
 
Nikisikia au kuona Nigeria, kuna picha ya wanawake wa nigeria inanijia kabisa, ni wanawake fulani, kwanza ni weusi, wengi ni wafupi. Isitoshe ni wale wanawake wa haleluya sana. Jua limewakomaza. picha hiyo hiyo ndiyo inanijia kwa wanawake wa kenya. Kwa tanzania naiona picha ya mwanamke fulani, siyo wa umri ulioenda, ila ni mwanamke aliyezaa tayari, sema hajakongoloka sana, tuseme amezaa watoto wawili, akafunga uzazi.
Na akipita sehemu, anaita.
Akivaa siketi fupi ana mapaja fulani ya kibarmaid hivi, na michirizi kwa mbali.
Dah....hahahaha. Hii mada umeielewa vizuri sana
 
ni tanzania pekee inafaa kuwa na sura nzuri ya kuvutia kama msichana mrembo sana
 
Nina mbwembwe hata nyuma yako achalia mbali nyuma ya keyboard. Nikiwa nyuma yako pia lazima niwe na mbwembwe.
Sasa watu km nyie ndo huwa nyuchi zinawapelekesha balaa....ila nyuma ya keyboard mbwembwe kibao. Haya tiririka 'she' gani umeielewa incase.......!
 
And you are absolutely correct son of a bitch!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Kumbe kichwa chako kimeishi kukumbuka asili yako kutoka kwa mama yako. Huwezi kuzaliwa guest house ukawa na akili, utaishia kuwaza wanawake na kila unachoona ukione kwenye taswira ya mwanamke.

Ukitoka kufananisha nchi na wanawake uanze kufananisha wazee wako.
 
Back
Top Bottom