Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Nani hajawahi kupotea hapa town(dar es salaam) akaenda mahali bila kuulizia? Mimi mwaka jana nilizunguka sana pale Posta nilikuwa naitafuta ofisi za TNMC kuna form nilikuwa nazipeleka za sister angu yupo mikoani uwezi amini ofisi nilikuwa naipita palepale mpaka wale wanaofanya shughuli maeneo ya karibia pale wakawa hawpajui ndo nikaamini hakuna mwenyeji posta wote ni wakuja tu..