Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigugumizi ni huyo wa maji chumvi kutaka kuongoza kwa miaka 15 sijui katiba yao insemajeJamani naanzisha zogo kile kimetokea mkutano mkuu Hayati baba wa Taifa angekuwa hai kingepita yaani Mzanzibari Bara na Mzanzibari visiwani yaani nchi ipo luteka naomba kuwasilisha naomba kuwasilisha je 😄 Nyerere angekubali?
Kwani Nyerere ndio nani mbele ya wenye nchi yao?. Hawa ni Watanzania, wakiamua ni wameamua, viongozi hao wamepitishwa na CCM, hata Nyerere angekuwepo angefanya nini?.Jamani naanzisha zogo kile kimetokea mkutano mkuu Hayati baba wa Taifa angekuwa hai kingepita yaani Mzanzibari Bara na Mzanzibari visiwani yaani nchi ipo luteka naomba kuwasilisha naomba kuwasilisha je 😄 Nyerere angekubali?
Mbona yeye alitawala miaka ishirini na mpaka akamfunga rais wa Zanzibar ?Jamani naanzisha zogo kile kimetokea mkutano mkuu Hayati baba wa Taifa angekuwa hai kingepita yaani Mzanzibari Bara na Mzanzibari visiwani yaani nchi ipo luteka naomba kuwasilisha naomba kuwasilisha je 😄 Nyerere angekubali?
Baba wa taifa asingekubali. Lawama zote ziende kwa jk kwani badala ya kujifanya ndio mzee wa ccm peke yake baada ya kubakia rais mstaafu peke ilimlazimu kutumia busara awashirikishe mawaziri wakuu wastaafu kama mzee Msuya na Mzee Malecela. Mwenyewe jk anakubaliana na mawazo ya mzee makamba kutojali katiba na taratibu. Samia alitakiwa kuingia kinyanganyiro kugombea na wengine ugombea nafasi ya kugombea urais. Mwenyewe amepwaya sana na kiwango cha uadilifu aliyojenga jpm amekiacha kushuka kusudi kwa kushikamana na wale wahuni jpm alipambana kuwadhibiti. Kuna hatari ccm kushindwa vibaya october ikiwa itafanya uchaguzi huru. Samia huenda akalazimika kuwarudisha kazini wale wezi stadi wawili wa kura aliyojidai kawatema.Jamani naanzisha zogo kile kimetokea mkutano mkuu Hayati baba wa Taifa angekuwa hai kingepita yaani Mzanzibari Bara na Mzanzibari visiwani yaani nchi ipo luteka naomba kuwasilisha naomba kuwasilisha je 😄 Nyerere angekubali?
Ina maana wewe hujui kama Nyerere amewahi kumtoa Mzanzibari awe raisi bara na mzanzibari mwengine awe raisi visiwani? Hoja ya kipuuzi kabisa hiiJamani naanzisha zogo kile kimetokea mkutano mkuu Hayati baba wa Taifa angekuwa hai kingepita yaani Mzanzibari Bara na Mzanzibari visiwani yaani nchi ipo luteka naomba kuwasilisha naomba kuwasilisha je 😄 Nyerere angekubali?
Kwasasa hili taifa ni yatimaJamani naanzisha zogo kile kimetokea mkutano mkuu Hayati baba wa Taifa angekuwa hai kingepita yaani Mzanzibari Bara na Mzanzibari visiwani yaani nchi ipo luteka naomba kuwasilisha naomba kuwasilisha je 😄 Nyerere angekubali?
Kwani Mwinyi ni mzanzibar ,mi najua Mwinyi ni mndengereko wa RufijiKatiba mbovu na muungano usioeleweka ni urithi alioacha Nyerere. Mzanzibari anaweza kuwa Rais wa Tanganyika ila Mtanganyika hawezi kuwa Rais wa Zanzibar.
Mbona yeye alimuachia marehem mzee Alliy Hasan Mwinyi?Jamani naanzisha zogo kile kimetokea mkutano mkuu Hayati baba wa Taifa angekuwa hai kingepita yaani Mzanzibari Bara na Mzanzibari visiwani yaani nchi ipo luteka naomba kuwasilisha naomba kuwasilisha je 😄 Nyerere angekubali?
Eti Kuna hatari CCM kushindwa October. It's a day dreamBaba wa taifa asingekubali. Lawama zote ziende kwa jk kwani badala ya kujifanya ndio mzee wa ccm peke yake baada ya kubakia rais mstaafu peke ilimlazimu kutumia busara awashirikishe mawaziri wakuu wastaafu kama mzee Msuya na Mzee Malecela. Mwenyewe jk anakubaliana na mawazo ya mzee makamba kutojali katiba na taratibu. Samia alitakiwa kuingia kinyanganyiro kugombea na wengine ugombea nafasi ya kugombea urais. Mwenyewe amepwaya sana na kiwango cha uadilifu aliyojenga jpm amekiacha kushuka kusudi kwa kushikamana na wale wahuni jpm alipambana kuwadhibiti. Kuna hatari ccm kushindwa vibaya october ikiwa itafanya uchaguzi huru. Samia huenda akalazimika kuwarudisha kazini wale wezi stadi wawili wa kura aliyojidai kawatema.
Wew ni mwehuKwani Nyerere ni nani?. Hawa ni Watanzania, wamepitishwa na CCM, hata Nyerere angekuwepo wangefanya nini?.
P
Vijana wanafundishwa darasani nyerere ndio mgunduzi wa Taifa la TANZANIAKwani Nyerere ni nani?. Hawa ni Watanzania, wamepitishwa na CCM, hata Nyerere angekuwepo wangefanya nini?.
P
Juzi mtanzania pekee alikua Lusinde TU!Kwani Nyerere ni nani?. Hawa ni Watanzania, wamepitishwa na CCM, hata Nyerere angekuwepo wangefanya nini?.
P