Brand brand brand si ya kwakeWw unayaona madogo lakini kibiashara ni makubwa sana na yana weza kukugharimu iwapo Azam watakushitaki kwa kuchafua jina la kampuni yao.
Unacho takiwa kabla ya kuleta tuhuma kama hizo uje na uthibitisho kutoka kwenye vyombo vinavyo husika ndani ya nchi.
Brand ya Azam imejengwa kwa muda mrefu na kwa mabilioni ya fedha si vizuri kuleta madai ya kuichafua kwa hoja zenu dhaifu.
Ushahidi unaonyesha kwamba Sodium Benzoate ikichanganywa na hiyo Ascorbic acid inatengeneza sumu ya benzene inayoleta makansa, sasa sijui anataka ushahidi gani zaidi ya kusoma ingridients kwenye labelBrand brand brand si ya kwake
Na watu wanangalia afya zao
Ova
Kuna wadau humu wanakuambia wabongo wana husda,oh wanaaribu brand yake blah blahUshahidi unaonyesha kwamba Sodium Benzoate ikichanganywa na hiyo Ascorbic acid inatengeneza sumu ya benzene inayoleta makansa, sasa sijui anataka ushahidi gani zaidi ya kusoma ingridients kwenye label
Wakipenyezewa mabulungutu wana tuliaaa tuli kama maji ya mtunginiTangu lini serikali imewahi kuwapenda masikini??
Unakuta wanapeleka barua za kuomba mchango wa pesa za kampeniWakipenyezewa mabulungutu wana tuliaaa tuli kama maji ya mtungini
Ova
Sidhani Kama utaweza nishinda mfano hapa mchana nimepiga uji wa ulezi bila sukari,viazi vitamu vimechemshwa ,mboga za majani na ndizi mbivu moja Basi imetoka. Nishapiga marufuku majuisi ya dukani. Kama ngano nanunua ngano nzima nasaga huwa situmii ngano iliyokubolewa Nina miaka sijawahi kula chapati Andazi ama kitumbua. Mana sijawahi pata mtu akaugua akaambiwa kula sukari chumvi ama mafuta ya kula mengi. Yaani watu Ni walevi wa instant gratification ya dopamine zao sema hawajui. Na wanavyotangaziwa kila muda mpaka wanakariri na wanaona maisha Ni kula ngano iliyokubolewa na majuisi ya unga na sukari wanaambiwa kuwa Ni embe ama epo so ununue embe ama epo utengeneze mwenyewe. Sema watu wanapenda kilicho tayari mkononiSijaendelea kusoma zaidi, ulivyotaja maziwa ya Azam tu nimeelewa, nashukuru kuwa ninajitambua na sijawahi kunywa hayo maziwa ambayo yamechukuliwa unga wa maziwa imported na kukorogwa. I'm serious kwenye issues za afya kuliko ushabiki
Kwa hiyo hii ndio inahalalisha Azam kujaza sumu kwenye vinywaji vyake!?Huwezi kwepa sumu hasa mjini unaamka sumu unalala sumu. Mboga za majani karibu zote sumu.
Muhimu kula vyakula viondoa sumu
Bill Gates ji Kafir. Bakhressa huyu ni mwenzetu.Kwa hiyo Bill Gates akikupa sumu utakunywa kwa kuwa tu yeye ni tajiri?!!!
Wamemuonea tuChizi umeandika mambo magumu wamekupiga pin [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mamlaka zimelala,ufuata bahasha tu.Kwa hiyo hii ndio inahalalisha Azam kujaza sumu kwenye vinywaji vyake!?
Soda sio juice.Kwa hoja zako basi vinywaji vyote vinavyo tengenezwa viwandani havifai maana vyote vina tengenezwa na kuhifadhiwa na kemikali ambazo ni hatari kwa maisha ya mwanadamu.
Angeleta hoja wa kuwa vinywaji vyote vina tengenezwa viwandani havifai hapo hoja zake zingekuwa na mashiko na sio kuishambulia Azam.
Hivi nikikuuliza soda ya Coca-Cola,pepsi au grand Malta vinatengenezwa kwa tunda gani unaweza kunipa jibu?
Halafu Hawa wake zetu nao Wanakuwa wa kwanza kuwanunulia huu uchafu. Nimegombana Sana na wife kuhusu kuendrkeza haya masoda mpaka watoto wananiona Mimi kauzu. Ninajitahii kutoa elimu ya health goodsMie Ni Kama wewe. Nikikaa na mtu ananiambia soda nikicheki Kama Kuna matunda naagiza otherwise maji ama supu ya ulimi ,mkia, kuku,samaki,maziwa fresh ,green tea na limao nakunywa kavu ama Kama hizo juisi za asilia ulivyosema.hata Kama kunywa Azam Ni kwa nadra mno tokea kiwanda kimefunguliwa labda hazidi Mara tano.
Yaani Hawa wahindi na waarabu watatumaliza afya zetu jamani na watalaamu wetu walivyo na njaa Kama viongozi wetu tu. Akipigwa fungu ama bahasha Nene ananyamaza kimya na kubakia kusifia Ni sawa Hawa wapinzani wamelambishwa asali kazi kutukana marehemu.
Cheki biashara za juisi Kama Prof Muhongo alivyodai kuwa ndio uwezo wa watanzania huku Kuna sayona,Mara Jambo,Mara Azam Mara Kuna Mo na zingine nyingi na Hawa wote Ni waarabu na wahindi na wanajulikana Tabia zao wanavyotufanyiaga hata wakiwa wametuajiri.
Afya Ni jukumu lako mwenyewe subiria eti serikali.
Yaani huwa naumia kumuona mama anampatia mwananye juisi eti Jambo mengo yaani natamani nimzabe kibao.
Haya Mambo wife nishamwambia kitambo naweza nikampatia talaka.
Ukwaju upo sokoni jamani na ubuyu mie nakuwa ndani.
Mkuu komaa mwambie mwanao inabidi ale vya asili vyakula. Nunua embe saga juisi wanywe. Jaribu kumuonyesha huu Uzi wausome. Wife akiwa na mimba inabidi ale pure nutrientsHalafu Hawa wake zetu nao Wanakuwa wa kwanza kuwanunulia huu uchafu. Nimegombana Sana na wife kuhusu kuendrkeza haya masoda mpaka watoto wananiona Mimi kauzu. Ninajitahii kutoa elimu ya health goods
Haya sisi tunakunywa hizo unazoziita takataka wewe haunywi sasa huo mwili unamtunzia nani huko kaburini?Huwa mimi sinywi hizi takataka za huyu bwana, wala hata za viwanda vya soda na bia. Mimi huywa zaidi juice niliyotengeneza mwenyewe kwa maembe, ndizi, tikiti maji, nanasi, fenesi, parachichi, passion fruits, etc. Mnaoona kunywa juice za viwandani ni ujanja, basi endeleeni na ujanja wenu.