Dadavua lugha na maandishi yapo kifalsafa zaidi,tunashindwa kukuelewa kwa kina.UWT ni nyie ni wajinga sn, hakuna cheo cha Raisi Tanzania
UWT ingieni MEMKWADadavua lugha na maandishi yapo kifalsafa zaidi,tunashindwa kukuelewa kwa kina.
CCM mgombea wao ni AmbarutyCCM yupo?
Huyu ndio anafaa kuwa rais wenu: Pateni kuitambua saa aina ya Bulgari Serpenti Seduttori: ina vipande 197 vya almasi, 2 vya rubi adimu na karati 16 za saphire (zumaridi)Nani nauliza tu ,ni nani anaweza kuwa Raisi na WaTZ wakawa hawana wasiwasi nae!
Niwaonavyo viongozi wa Chadema nyuma ya pazia ni wabinafsi .
Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya matendo yao ni magoigoi wanaoweza kukimbia nchi ikiwa wananchi wataamua kuandamana na hawa sifa za usafi ,tuseme ni wachumia matumbo.
Kama ni Lissu huyu hana shukurani na amejaa kiburi,Mbowe ni mtu wa chupa yaani wamejaa maulahgai.
Wachadema tutajieni kama ataweza kujadilika uchaguzi haupo mbali tena, hatuwasikii makelele ya ya madai ya Tume huru hadi uchaguzi kesho ndio utawaona wanakurupuka kuwalisha wananchi matango pori.
Mbowe sawa tu na KenyattaNani nauliza tu ,ni nani anaweza kuwa Raisi na WaTZ wakawa hawana wasiwasi nae!
Niwaonavyo viongozi wa Chadema nyuma ya pazia ni wabinafsi .
Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya matendo yao ni magoigoi wanaoweza kukimbia nchi ikiwa wananchi wataamua kuandamana na hawa sifa za usafi ,tuseme ni wachumia matumbo.
Kama ni Lissu huyu hana shukurani na amejaa kiburi,Mbowe ni mtu wa chupa yaani wamejaa maulahgai.
Wachadema tutajieni kama ataweza kujadilika uchaguzi haupo mbali tena, hatuwasikii makelele ya ya madai ya Tume huru hadi uchaguzi kesho ndio utawaona wanakurupuka kuwalisha wananchi matango pori.
Basi baba yako atakuwa RaisNani nauliza tu ,ni nani anaweza kuwa Raisi na WaTZ wakawa hawana wasiwasi nae!
Niwaonavyo viongozi wa Chadema nyuma ya pazia ni wabinafsi .
Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya matendo yao ni magoigoi wanaoweza kukimbia nchi ikiwa wananchi wataamua kuandamana na hawa sifa za usafi ,tuseme ni wachumia matumbo.
Kama ni Lissu huyu hana shukurani na amejaa kiburi,Mbowe ni mtu wa chupa yaani wamejaa maulahgai.
Wachadema tutajieni kama ataweza kujadilika uchaguzi haupo mbali tena, hatuwasikii makelele ya ya madai ya Tume huru hadi uchaguzi kesho ndio utawaona wanakurupuka kuwalisha wananchi matango pori.
Chama kimepoteza mvuto, viongozi ni wale wale walioshindwa miaka Ile Hadi wanazeeka na chama kinazeeka 🤣🤣Nani nauliza tu, ni nani anaweza kuwa Rais na Watanzania wakawa hawana wasiwasi nae!
Niwaonavyo viongozi wa CHADEMA nyuma ya pazia ni wabinafsi.
Ukweli wana ueledi wa kufoka ila ukikusanya matendo yao ni magoigoi wanaoweza kukimbia nchi ikiwa wananchi wataamua kuandamana na hawa sifa za usafi, tuseme ni wachumia matumbo.
Kama ni Lissu huyu hana shukurani na amejaa kiburi, Mbowe ni mtu wa chupa yaani wamejaa maulahgai.
Wanachama wa CHADEMA tutajieni kama ataweza kujadilika uchaguzi haupo mbali tena, hatuwasikii makelele ya ya madai ya Tume huru hadi uchaguzi kesho ndio utawaona wanakurupuka kuwalisha wananchi matango pori.