The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
Naunga mkono hojaWakuu kwema
Nilikuwa nafuatilia vikao vya Bunge jana kwenye Tv.
Niseme kiukweli Mheshimiwa Tulia ackson ni mtu haswa haswa, huyu mama nimeelewa sasa Kwanini ni amekuwa raisi wa mabunge yote duniani.
Alikuwa anawa challenge wabunge ambao wengi wao nimeamini kichwani ni kweupe sana na hawawezi kujenga hoja kabisa mbele ya mheshimiwa Tulia ackson.
CCM ina baadhi ya watu makini sema kutokana na walio juu yao wanashindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Mheshimiwa Tulia ackson ni jembe haswa na kichwani pamejaa madini.
Hongera Mheshimiwa Tulia ackson
Kama ni kichwa hivyo, anashindwaje kutekeleza amri ya mahakama kuwatoa COVID 19 bungeni?Wakuu kwema
Nilikuwa nafuatilia vikao vya Bunge jana kwenye Tv.
Niseme kiukweli Mheshimiwa Tulia ackson ni mtu haswa haswa, huyu mama nimeelewa sasa Kwanini ni amekuwa raisi wa mabunge yote duniani.
Alikuwa anawa challenge wabunge ambao wengi wao nimeamini kichwani ni kweupe sana na hawawezi kujenga hoja kabisa mbele ya mheshimiwa Tulia ackson.
CCM ina baadhi ya watu makini sema kutokana na walio juu yao wanashindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Mheshimiwa Tulia ackson ni jembe haswa na kichwani pamejaa madini.
Hongera Mheshimiwa Tulia ackson
Sifa nyingine ni za kijinga kabisa, ni mzuri kwenye kutunga Sheria za kukomoa, sio za kulinda haki. Sana sana ukisema ni mzuri kwenye kutunga Sheria za kulinda watawala, ambazo hulindwa kwa mabavu hapo huenda uko sawa. Naona toka Jana Tulia kawamwaga chawa wake kumpamba humu mitandaoni.Wakuu kwema
Nilikuwa nafuatilia vikao vya Bunge jana kwenye Tv.
Niseme kiukweli Mheshimiwa Tulia ackson ni mtu haswa haswa, huyu mama nimeelewa sasa Kwanini ni amekuwa raisi wa mabunge yote duniani.
Alikuwa anawa challenge wabunge ambao wengi wao nimeamini kichwani ni kweupe sana na hawawezi kujenga hoja kabisa mbele ya mheshimiwa Tulia ackson.
CCM ina baadhi ya watu makini sema kutokana na walio juu yao wanashindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Mheshimiwa Tulia ackson ni jembe haswa na kichwani pamejaa madini.
Hongera Mheshimiwa Tulia ackson
Wakuu kwema
Nilikuwa nafuatilia vikao vya Bunge jana kwenye Tv.
Niseme kiukweli Mheshimiwa Tulia ackson ni mtu haswa haswa, huyu mama nimeelewa sasa Kwanini ni amekuwa raisi wa mabunge yote duniani.
Alikuwa anawa challenge wabunge ambao wengi wao nimeamini kichwani ni kweupe sana na hawawezi kujenga hoja kabisa mbele ya mheshimiwa Tulia ackson.
CCM ina baadhi ya watu makini sema kutokana na walio juu yao wanashindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Mheshimiwa Tulia ackson ni jembe haswa na kichwani pamejaa madini.
Hongera Mheshimiwa Tulia ackson
Ni kweli ndo maana amesaidia kuuza bandariWakuu kwema
Nilikuwa nafuatilia vikao vya Bunge jana kwenye Tv.
Niseme kiukweli Mheshimiwa Tulia ackson ni mtu haswa haswa, huyu mama nimeelewa sasa Kwanini ni amekuwa raisi wa mabunge yote duniani.
Alikuwa anawa challenge wabunge ambao wengi wao nimeamini kichwani ni kweupe sana na hawawezi kujenga hoja kabisa mbele ya mheshimiwa Tulia ackson.
CCM ina baadhi ya watu makini sema kutokana na walio juu yao wanashindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Mheshimiwa Tulia ackson ni jembe haswa na kichwani pamejaa madini.
Hongera Mheshimiwa Tulia ackson
Tatizo moja ni kwamba hawezi kwenda tofauti na lichama letu hata kama italazimu kuwa hivyo. π πWakuu kwema
Nilikuwa nafuatilia vikao vya Bunge jana kwenye Tv.
Niseme kiukweli Mheshimiwa Tulia ackson ni mtu haswa haswa, huyu mama nimeelewa sasa Kwanini ni amekuwa raisi wa mabunge yote duniani.
Alikuwa anawa challenge wabunge ambao wengi wao nimeamini kichwani ni kweupe sana na hawawezi kujenga hoja kabisa mbele ya mheshimiwa Tulia ackson.
CCM ina baadhi ya watu makini sema kutokana na walio juu yao wanashindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Mheshimiwa Tulia ackson ni jembe haswa na kichwani pamejaa madini.
Hongera Mheshimiwa Tulia ackson
Nadhani hao Wawili ndio wameweza kuwa wakweli zaidi katika kuonyesha kwamba Katiba yetu imempa madaraka makubwa sana kwa mhimili mmoja mkuu uliyojichimbia chini zaidi !Tulia kichwani akili anazo. Tatizo lame kubwa ni unafiki na uchawa. Tulia ndiye spika pekee ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa bunge lipo chini ya Rais, ni lazima lisikilize Rais anataka nini.
Chawa mwingine ni Prof. Juma, naye alitamka kuwa hukumu za mahakama ni lazima zizingatie Serikali inataka nini.
Hiki ni kipindi cha kifo cha mihimili miwili, hatuna Bunge, hatuna Mahakama. Tuna Bunge na mahakama bandia.
gubuSifa nyingine ni za kijinga kabisa, ni mzuri kwenye kutunga Sheria za kukomoa, sio za kulinda haki. Sana sana ukisema ni mzuri kwenye kutunga Sheria za kulinda watawala, ambazo hulindwa kwa mabavu hapo huenda uko sawa. Naona toka Jana Tulia kawamwaga chawa wake kumpamba humu mitandaoni.
Kama angekuwa mwanasheria nguli hivyo tungeona akiitisha minimum reforms ili kuendelea na mabadaliko ya Sheria za uchaguzi.
Hilo halihitaji uwe kichwa au kiazi, ni kwamba TZ kuna mhimili uliojichimia chini zaidi na huo ndio unatoa amri ya mwisho. Spika hawezi kuamua kama mhilili huo hautaki.Kama ni kichwa hivyo, anashindwaje kutekeleza amri ya mahakama kuwatoa COVID 19 bungeni?
We want integrity oriented people, and not interest oriented , the likes of Tulia and Job Ndugai, the former speaker!
Jitambulishe kwanza uwezo wako kwenye ujuzi wa sheria ili tuwe na uhakika wa madai yako, vinginevyo wewe ni papasi wake.Wakuu kwema
Nilikuwa nafuatilia vikao vya Bunge jana kwenye Tv.
Niseme kiukweli Mheshimiwa Tulia ackson ni mtu haswa haswa, huyu mama nimeelewa sasa Kwanini ni amekuwa raisi wa mabunge yote duniani.
Alikuwa anawa challenge wabunge ambao wengi wao nimeamini kichwani ni kweupe sana na hawawezi kujenga hoja kabisa mbele ya mheshimiwa Tulia ackson.
CCM ina baadhi ya watu makini sema kutokana na walio juu yao wanashindwa kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.
Mheshimiwa Tulia ackson ni jembe haswa na kichwani pamejaa madini.
Hongera Mheshimiwa Tulia ackson