Sasa mkuu SS wengine hatuna Muda wakukaa kwenye vijiwe vya draft,Mkuu tembelea kijiwe chochote cha draft au ghahawa hizo story utazipata.
Namaanisha ni story za kubumba.Mkuu tembelea kijiwe chochote cha draft au ghahawa hizo story utazipata.
Wewe kama hujapokea dini unakula paka, mbwa , Konokono, jongoo nkKisa dini za kuletewa utakua hujielewi
Na broiler anakuwa kafa au?!Nchi yetu imebarikiwa kuwa na mifugo mingi husasani nguruwe ila kutokana na wingi ng'ombe uonekana mboga kubwa kwa maitaji ya kila siku na wanyama wengine.
Kuna nchi ambazo ng'ombe ni wachache ukilinganisha mbuzi, kuku, samaki na nguruwe. Tuje nchini China, Korea, Taiwan, Cambodia, Vietnam, Japan na n.k hawa jamaa wanakula nguruwe sana yani kila kona ya migahawa ni nguruwe.
Huko mbeleni siku idadi ya ng'ombe ikipungua na ufinyu wa ufugaji basi nguruwe anaweza kuwa mbadala wa mboga kubwa.
Karibu biriani la kitimoto hapa
Kwamba nguruwe ni binadamu,huu ufala mnapewaga wapi?Kwenu wala kitimoto, mjue kula nguluwe, mna wala babu na bibi zenu..
Nyama ni nyama hata yako inaliwa ukijichanganyaWewe kama hujapokea dini unakula paka, mbwa , Konokono, jongoo nk
Za wageni hizo tena watesi,Dini ni imani, imani ni utamaduni...
Ila hawa wanajua sana kuiandaa, hiyo unaweza maliza kilo 2 ndani ya dakika chache sana
Nguruwe ni level nyingine, hapa bongo inaendelea kuwa nyama inayojizolea umaarufu kila kukichaMy point was kuonesha umuhimu wa nguruwe kwa maisha ya binadamu kulinganisha na jamii nyingine za wanyama. By the way, nguruwe anastawi mazingira almost yote that's why ameenea duniani kote.
Nguluwe haliwi,analiwa nguruweKwenu wala kitimoto, mjue kula nguluwe, mna wala babu na bibi zenu..