Tuseme ukweli tu, Mike Tyson hatembei kwa Evander!

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,033
Kwa waliobahatika kuangalia mechi za hawa wababe basi lazima wakubaliane na mimi.
Tyson kapigwa mno mchezo wa kwanza hadi akalegema kabisa na refarii kuhamua kumaliza mchezo.
Mechi ya pili jamaa aliona hali sio nzuri raundi ya 3 tuu akamng'ata sikio evanda na mchezo ukaishia hapo.
Evander kampasua sana tyson.
Mike Tyson kushoto na kulia ni Evander Holyfield.
 
Tyson anakabia kuwa bondia bora zaidi kuwahi kutokea katika dunia hii na aliyependwa na kuufanya mchezo huo kuwa na hamasa zaidi duniani. Angalia baada ya Tyson kupigwa na kupotea kwenye masumbwi, mchezo huo wa donga hauna hamasa na ushabiki mkubwa zaidi kama kipindi chake. Ana Legacy yake kubwa sana. Ni the living legend.
 
Enzi zao hao zishaisha sasa hivi zipo enzi za akina Tyson Furry, Vladmil Klishcko, Marcus Maidana (china) na wengineo
 
kila mmoja na mbabe wake japo namkubali sna tyson huwez kupiga wote
 
My weather ni noma sana kuanzia akili mpaka ulingoni
floyd yupo vizuri sana , Tyson hagusi kabisa hapa hata kama yeye ni heavy weight,


Floyd yupo vizuri kwanza ana shabaha alaf anajua sana kukwepa, ila ukitaka kumfaidi zaidi floyd angalia mapambano yake ya miaka ya 90
 
Reactions: MC7
floyd yupo vizuri sana , Tyson hagusi kabisa hapa hata kama yeye ni heavy weight,


Floyd yupo vizuri kwanza ana shabaha alaf anajua sana kukwepa, ila ukitaka kumfaidi zaidi floyd angalia mapambano yake ya miaka ya 90

Hivi unawezaje kumfananisha the baddest man on the planet na hicho kidudu floyd?
Hiyo miaka ya 90 hapakuwa na mtu anayeitwa floyd maywether na wala floyd asingeweza boxing ya miaka hiyo kwani akina prince naseem peke yake wangetosha kabisa kumfuta kwenye ring.
Wewe umezaliwa lini mkuu,hebu tutajie pambano moja tu bora la floyd alilocheza hiyo miaka ya 90.
 
"Kwa waliobahatika kuangalia mechi za hawa wababe basi lazima wakubaliane na mimi.
Tyson kapigwa mno mchezo wa kwanza hadi akalegema kabisa na refarii kuhamua kumaliza mchezo.
Mechi ya pili jamaa aliona hali sio nzuri raundi ya 3 tuu akamng'ata sikio evanda na mchezo ukaishia hapo."

Namuunga mkono Rais wangu kuhusu Matumizi ya Kiswahili. Arsenal amewahi kuifunga Barcelona, lakini haijawahi kuitoa Barcelona.
 
Labda macho yangu yananidanganya lakini kwa utashi wangu haupo sahihi
Floyd wengi mmemjulia kwa pambano moja ila kwa sisi ambao tumemjua tokea miaka ya 90 tunaujua mziki wake,

Hamna Boxer atakayeweza kumsimamisha,Maidana kidogo alijaribu jaribu,


Na mtu kama Pacquiao akipanda na huyu dogo maidana anakaaa bila wasiwasi
 
Reactions: MC7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…