Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Zanzibar imechukua kombe Mara ya mwisho 1990 nchi ikiwa chini ya mwinyi Dua Said akicheza.Zanzibar ilishawahi kutwaa kombe CECAFA Senior Challenge Cup tena kwenye ardhi ya ugenini. Walilichukulia kombe Uganda
Mwaka siwezi kukumbuka hadi mwaka labda wadau humu watatusaidia. Tena kuna wakati wakashika pia nafasi ya tatu kisha wacjezaji wakagawana pesa za zawadi ndani ya ndegeHebu nitajie mwaka gani. Usikete taarifa nusu nusu humu Mzee.
Acha kurukaruka umesema CECAFA SENIOR CHALLENGE.Mwaka siwezi kukumbuka hadi mwaka labda wadau humu watatusaidia. Tena kuna wakati wakashika pia nafasi ya tatu kisha wacjezaji wakagawana pesa za zawadi ndani ya ndege
Zanzibar ina baadhi ya wachezaji wazuri. Sema kwa vile hawapo kwenye timu moja ndio maana vilabu vyao havifanyi vizuri sana
Kwani huku bara ukiondoa Simba na Yanga timu gani inaweza kuwakilisha nchi kwenye michuano ya Afrika kwa mafanikio? Hata hao Simba, Yanga, Azam, Namungo au hata Biashara bila wachezaji wa nje ya Tanzania unadhani wanaweza kufanya lolote kimataifa???!!!!
Zanzibar hawana wadhamini kama huku bara vinginevyo vijana wao wana vipaji vikubwa kama huku.Mzee hao ni wachezaji wa kawaida sana mwanangu.
Feitoto na Ndemla ni group moja.
Usichanganywe na miluzi mingi kumsifia Fei, hizo ni mbwembwe za kisiasa kwa sababu rais ni mzanzibar.
Zanzibar ilishawahi kutoa mchezaji mmoja tu ambaye ni Dua Said.
Hivi hao CECAFA wamewahi chukua kombe!?
Siku hizi mpira sio wa ridhaa. Nipatie hizo statistics zinazoonesha hao vijana wanavipaji vikubwa. Tungewaona mapinduzi cup wakichukua makombe. Au wangekuwa wanapiga chenga kaliZanzibar hawana wadhamini kama huku bara vinginevyo vijana wao wana vipaji vikubwa kama huku.
Zanzibar ilichukua kombe la CECAFA Senior Challenge Cup mwaka 1995 kwa kuwafunga wenyeji Uganda Cranes 0-1. Walifanya hivyo baada ya Tanzania Bara kua wameshinda kikombe hicho 1994 pale NairobiAcha kurukaruka umesema CECAFA SENIOR CHALLENGE.
Tumalize kwanza hilo.
Mara ya mwisho Zanzibar kuchukua kombe ni 1990 Dua Said akiwa mchezaji.
Pili kuna mapinduzi cup ambayo huunganisha ZANZIBAR na bara
Timu ya mwisho kutoka Zanzibar kuchukua kombe ni Miembeni SC
Mwaka 2008.
Nataka tuongee kwa facts siyo mihemko.
Sasa unaposema Zanzibar wanacheza nimekuuliza kwa statistics zipi.Zanzibar ilichukua kombe la CECAFA Senior Challenge Cup mwaka 1995 kwa kuwafunga wenyeji Uganda Cranes 0-1. Walifanya hivyo baada ya Tanzania Bara kua wameshinda kikombe hicho 1994 pale Nairobi
Tanzainia Bara ilikuja kuchukua tena Cecafa 2010, kwahiyo hatucheka viwango vyetu. Bahati mbaya timu ya Taifa ya Visiwani hairuhusiwi kushiriki yenyewe kwenye michuano ya Afrika inayoandaliwa na CAF wala ile ya FIFA World Cup ambapo tungeona vipaji vyao kikikusanywa na kutumika
Feisal Salum. Motisha ndogo huko visiwani vinginevyo wanao uwezo mkubwa wa kuucheza mpira.Siku hizi mpira sio wa ridhaa. Nipatie hizo statistics zinazoonesha hao vijana wanavipaji vikubwa. Tungewaona mapinduzi cup wakichukua makombe. Au wangekuwa wanapiga chenga kali
Wachezaji wao wote wazuri wako Bara.Sasa unaposema Zanzibar wanacheza nimekuuliza kwa statistics zipi.
Au unapoona vijana wanapiga dana dana mia mia mtaani ndio unasema wanajua kucheza!!
Zanzibar kuna mapinduzi cup. Mbona hatuoni uwezo huo kwenye hilo kombe!?
Usilazimishe 2 kuwa 100.
WatajeWachezaji wao wote wazuri wako Bara.
Wewe unawajua, kama huwajui pole sana. Sipo kwenye chumba cha mtihani hapa.Wataje
Fai na Ndemla ni size moja.Feisal Salum. Motisha ndogo huko visiwani vinginevyo wanao uwezo mkubwa wa kuucheza mpira.
Mechi moja ya ligi kuu unguja pato la kiingilio halizidi tshs 10,000 unategemea utachezwa mpira hapo?!!
Wewe umeanzisha uzi. Mbona unaleta makasiriko!? 🤣🤣🤣 Siku nyingine usiandike thread kwa mihemko.Wewe unawajua, kama huwajui pole sana. Sipo kwenye darasa la mtihani hapa