Mwaka siwezi kukumbuka hadi mwaka labda wadau humu watatusaidia. Tena kuna wakati wakashika pia nafasi ya tatu kisha wacjezaji wakagawana pesa za zawadi ndani ya ndege
Zanzibar ina baadhi ya wachezaji wazuri. Sema kwa vile hawapo kwenye timu moja ndio maana vilabu vyao havifanyi vizuri sana
Kwani huku bara ukiondoa Simba na Yanga timu gani inaweza kuwakilisha nchi kwenye michuano ya Afrika kwa mafanikio? Hata hao Simba, Yanga, Azam, Namungo au hata Biashara bila wachezaji wa nje ya Tanzania unadhani wanaweza kufanya lolote kimataifa???!!!!