- Thread starter
- #21
Okay sawa
Hata sijasoma uliyoandika
Upo sahh kwa hayo uliyoandika
Hili hujaanza kulisema leo,na huwa nalizingitia sana. Kwahiyo hapo nimekuandikia wewe hasa ila na wengine kwa ujumla. Kwahiyo usipo soma wewe basi watasoma wengine.
Ili kutilia mkazo hili,huoni huwa na mquote Kiranga japokuwa ana dai ame ni "Ignore" na mimi nalijua hilo,kwa maana yeye au wewe huwa nawafanya kama "Wasila" tu kufikisha ujumbe kwa wengine.
Hili bila shaka limeisha,tujikite kwenye mada.