Okay sawa
Hata sijasoma uliyoandika
Upo sahh kwa hayo uliyoandika
Samahani mkuu. Naomba nikuulize.Hahahaha bora ulivyokua hujasoma maana ungepata kizungu zungu ukadondosha simu bureee.
Ishi kuendana na mahali palivyo usilazimishe wote wafate kile unacho wewe, wape nafasi na wengine wakupe kile wanacho, fungua milango ya kupokea vitu vipya kila siku, hapo itakufanya ukomae kiufahamu na itakufanya uishi katika mazingira yoyote.
Hahahaha bora ulivyokua hujasoma maana ungepata kizungu zungu ukadondosha simu bureee.
Bila Samahani,Samahani mkuu. Naomba nikuulize.
Hivi wewe ni Ke au Me?
Imagine huyu mtu anakwambia jua linazunguka duniaHao ni wale ambao wanatetea au kudai ya kuwa Dunia inazunguka,jambo ambalo hata kutuambia na kututhibitishia ya kuwa walifanya vipi majaribio na kujia hilo,majibu hawakupi,na ilikuwa lini hawakwambii na kwa kutumia nini hawakwambii,na kwanini wana "Assume" sana,sasa ukiwabana ndio wananza kurauka na kukutuhumu wewe mdini au wewe mbishi au wewe mjinga au wewe una elimu ndogo,hapo ameshashindwa hoja,sasa kama wanaweza kweli huu mtamnange wa kuthibitisha ya kuwa Dunia inazunguka wauanzishe halafu uone wanavyokimbia. Tatizo wakiona yale ma formula ya "Culculus" na zile nadharia za kina "Schrodinger" wanaona maisha ndio hayo wanasahau kuhoji ilikuwaje mpaka watu hao wakafikia hitimisho za nadharia zao na "Equations" zao.
Kuna mtu Fulani aliwahi kusema kuwa dini Ni aina flani ya tatizo la akili.Imagine huyu mtu anakwambia jua linazunguka dunia
Imagine what kind of stupid person you are
Imagine huyu mtu anakwambia jua linazunguka dunia
Imagine what kind of stupid person you are
Ndugu yangu @Zurri , iko hivi, kama lengo lako ni kubishana au kutafuta ushindi, daima utajikuta unaogopa au kuna watu unahofu nao kwa vile wewe kuibuka kidedea ni muhimu na jambo la maana zaidi kwako.
Sina tatizo na tunaobishana kwa hoja.. Nina shida na wanaotumia kejeli, matusi na mipasho pale unapowazidi ama kuwabananisha kwenye kona
Dinisio tatizo la akili mbona mimi Naamini uwepo wa MunguKuna mtu Fulani aliwahi kusema kuwa dini Ni aina flani ya tatizo la akili.