Samahani mkuu ila kwa attitude na majibu yako sikuwahi kudhani ni mwanaume ila leo ndio nimejua
By the way acha kuwa conservative na kuamini unajua kuliko wengine.
Weka room ya kujifunza maana arguments zako huwa ni kama defence au kutaka kushinda mijadala badala ya kujua.
Malcom Lumumba sijawahi jibizana nae, huwa namsoma tu hoja zake naishia kumpa tu salute.
Kwahiyo mmeamua kubishana na humu tena[emoji134][emoji134][emoji134]
That's my babe
Umenisoma vibaya mkuu.Bila samahani. Tuko pamoja.
Sijawahi kusema kwamba najua kuliko wengine,hii ni tafsiri ya wale ambao huwa wako dhidi yangu.
Kaka,kwanini usiseme hao ambao wako dhidi yangu ndio wanao jifanya kujua kuliko mnavyo nituhumu mimi ?
Katika mijadala kuna lugha za kukata na kuonyesha ya kuwa kinyume chake hakuna,na hizi lugha ndio huwa nazitumia sana,ndio maana hata hao wanao nituhumu hivyo huwa ni baada ya wa wao kushindwa hoja. Sasa kwa mtu makini ataona ya kuwa tatizo halipo kwangu bali lipo kwao,sababu wao huamini ya kuwa kile wakijuacho ndio usahihi wenyewe. Wanapo kutana na changamoto mpya huwa hakuna zaidi ya kupewa majina mabaya.
Hivi mathalani mtu anaposema ya kuwa Dunia inazunguka,kisha ukahoji akashindwa kujibu maswali husika,akaishia kukutuhumu kwa majina mabaya,hapo tatizo linakuwa kwa aliye hoji au kwa aliye hojiwa au nikasema ya kuwa "Jambo fulani hawezi kukithibitisha mpaka unaingia kaburni au mfank wake" na mtu huyo kweli akashindwa kufanya hvyo,unakuwa umeshindana au kujilinda ?
Pili,unapo mtaka mtu ajue kitu fulani basi umuonyeshe ya kuwa kwamba kitu hicho unakijua kweli sio kuleta ubabaishaji,na hili ndio ambalo huwa linafanyika sana humu.
Sisi mbona humu huwa tunaitwa vilaza,hatuna akili na majina mabaya lakini hatulalamiki ? Tunakubali ila sisi ambao ni vilaza maswali yetu huwa hayajibiwa.
Kwahiyo tujifunze kusema kweli na kuzungumza haki.
Umenisoma vibaya mkuu.
hili nimeliona binafsi na sio kwamba naongea kwa niaba ya watu.
Kuna siku tulikuwa tunajadili kitu flani na nilikuwa na mtazamo tofauti na wewe, cha kushangaza badala ya kuwa discussion ikawa unanishambulia ile personally then nikapuuza tu, baada ya hapo nilikuwa nikiona hata uzi wako au discussion upo, nilikuwa hata sijisumbui kusoma (sina tabia ya kumuweka mtu ignore list).
Mzima, mambo?Mzima lakini ?
Haina haja brother. Mimi nilikuelewa na kuheshimu space yako. Only datHapa ndio unatakiwa ya kuwa katika hili hauko peke yako,kwahiyo nilichokifanya mimi humu nimekujumuisha na wenzako. Hapa sasa ndio unatakiwa ujue hilo.
Unaweza kunikumbusha tulikuwa tunajadili nini,na wewe ukasema nini kisha nikakushambulia kwa kukuambiaje ? Msaada tafadhali.
Mzima, mambo?
Haina haja brother. Mimi nilikuelewa na kuheshimu space yako. Only dat
Mimi hawanipeleki puta ila wana mikomenti ya kuudhi hadi nikiona quote yao sitamani kufungua. Nawahifadhi kwa sasa
Haupo wapiBora yangu mie sipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Okay sawa
Hata sijasoma uliyoandika
Upo sahh kwa hayo uliyoandika
As usual...Kwahiyo unaweza pia ukawa muongo katika hili.
Tuko pamoja mzee.
As usual...
Searching for who is right or wrong instead of what's right or wrong
Lakini Sio mbaya pengine ni muongo kweli maana kuna kitu nitafaidika nacho kutokana na hili
Ubarikiwe
Nimekupa na like mkuuSafi kabisa nililijua tangu mwanzo ndio nikakuuliza vile nilijua hutaweza kuweka ushahidi,huu unabakia kuwa ni udhaifu wajo mwenyewe.
Kuna wakati wewe unaweza uka unakosea na si kile unachokiongelea,yaani wewe muwasilishaji ukawa kinyume na unachokiwasilisja katika uhalisia wake,sasa hili ni tatizo lako. Sababbu nimeona una changanya kati ya jambo binafsi na kinyume chake,ndio maana hata wewe nikikupa mwezi mzima uonyeshs ya kuwa nimekusema wewe badala ya kile kinachonzungumziwa,kwamba naongelea ufahamu na si mambo yako binafsi ambayo yako nje ya mada,yaani siwezi nikaongelea udhaifu au siri zako katika mada isiyotaka hilo,ila nitakujeruhi kwa ufahamu wako na ujinga ulio nao katila jambo la kielimu na si kinyume na hili haliitwi jambo binafsi au la dhati yako sababu sijagusa mambo yako binafsi.
Kwa akiba ya maneno huwa tunaambiwa hivi "Ukitaka kuijua haki ni ipi basi waangalie wenye haki ni kina nani". Havitengani viwili.
Limeisha hili.
Nimekupa na like mkuu
Duuh !!najua tukiamua kujadili habari za sayansi ya anga na kuzileta katika uhalisia nyingi huwa zina kataa.
Mfano wa suala la Dunia kuzunguka hakuna analiunga mkono jambo hili isipokuwa watu wa aina nne.
1. Wendawazimu
2. Wenye kufata mambo kwa ushabiki
3. Wasio hoji na kuuliza maswali juu ya kile wanacholetewa na Wanasayansi
4. Ambae milango yake fahamu haifanyi kazi.
Huyo Albert Michelson hakuwa mwanasayansi ? Na nina uwezo wa kukuwekea zaidi ya wanasayansi ambak hawakubali juu ya dunia kuzunguka.Unatumia mtandao kuwatukana na kuwabishia wanasayansi waliosema dunia inalizunguka jua kwamba ni waongo au vichaa,
Mkuu una tatizo gani kwani?
Kwani huko madrasa wanafundisha vitu gani vinasababisha baadhi ya wanafunzi wake(wachache) wawe na mawazo au misimamo kama yako?