NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Offcourse tunajua kuna tofauti kubwa kati yao na sisi hasa linapokuja suala la asili yao, Lakini kweli wakatae hata undugu wa kiafrika kwamba wapo nasi ndani ya bara la Africa?
Morocco wametukataa, yaani wanaona wao siyo ndugu zetu ni kwamba tunajipendekeza. Basi ndiyo tumekoma hatujipendekezi tena.
Kwa hali hii nahamia kuishabikia Ufaransa, hata huko France bado wapo ndugu zetu kibao ambao walikuwa na mchango mkubwa kushinda kombe la dunia 2018 na hawakuwa na tatizo lolote walivyopewa sapoti na waafrika ... wapo kina Dembele, Mbappe, Pogba, Camavinga, Konate yule dg aliyefunga juzi na England na wengine kibao. Sasa tunaachaje kuwasapot France?
Morocco wapigwe kama ngoma !! kinyume na hapo ushindi wao utatunyanyasa hasa waafrika weusi (hata maji ya kunde na kina brown) waliopo chini ya jangwa la Sahara.
Nakazia pia hata hio ijumaa kwenye kutafuta mshindi wa 3 wapigwe tena.
Morocco wametukataa, yaani wanaona wao siyo ndugu zetu ni kwamba tunajipendekeza. Basi ndiyo tumekoma hatujipendekezi tena.
Kwa hali hii nahamia kuishabikia Ufaransa, hata huko France bado wapo ndugu zetu kibao ambao walikuwa na mchango mkubwa kushinda kombe la dunia 2018 na hawakuwa na tatizo lolote walivyopewa sapoti na waafrika ... wapo kina Dembele, Mbappe, Pogba, Camavinga, Konate yule dg aliyefunga juzi na England na wengine kibao. Sasa tunaachaje kuwasapot France?
Morocco wapigwe kama ngoma !! kinyume na hapo ushindi wao utatunyanyasa hasa waafrika weusi (hata maji ya kunde na kina brown) waliopo chini ya jangwa la Sahara.
Nakazia pia hata hio ijumaa kwenye kutafuta mshindi wa 3 wapigwe tena.