TUSHAURIANE VEMA HAPA

TUSHAURIANE VEMA HAPA

Nilimpata nikiwa mwaka wa tatu yeye wa kwanza. 2019
Nilimwandaa ili nimuone akimaliza chuo 2022 lakini amekuwa akiniambia wazazi wake wamesema atulie kidogo. Sijamlamba hadi leo sijui nifanyeje maana namkubali
Nikisha ona mtu kakaa kuanzia mwaka na kuendelea kwenye mahusiano na hawajashiriki tendo la ndoa hua nakosa ushauri, maana mwanaume yeye si Padri/Brother wala mdada si sisters
 
Back
Top Bottom