Tushauriane zawadi ya Valentine's Day isiyozidi Tsh 20,000/=

mnunulie kiatu simple kama anapenda au mafuta mazuri ya kupaka. kuna mdau hapo juu kasema pads nalo ni wazo zuri utakuwa umemsave
 
hebu cheki zawadi itakayodumu mwaka mzima na kila siku ataiangalia bei yake pia ni nzuri nayo ni kalenda
 
Mishumaa inayonukia na mafuta ya mwili.

Nitawasha mishumaa hio ghetto na hayo mafuta nitatumia kumpa massage.

Hio zawadi safi kwa bajeti yangu ya sh 20,000 na wote tutafurahi na kuikumbuka siku ya wapendanao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…