Asante kwa ushauriNuna kitu ambacho unajua yy atakipenda au anawishi kuwa nacho lakini pia angalia na uwezo wa mfuko wako kama unaweza kumudu mfanyie maisha ndio haya haya mfurahishe tu kama unauwezo.
Kama ni mwanamke #una mnunulia boy wako mnunulie:
Sikuwahi kuwa na huyo mtu wa kumpelekea
Duh!! Sasa K Y akaitumie wapi?Kama ni mwanamke #una mnunulia boy wako mnunulie:
Condom box moja Tsh/= 7000
K-Y 1 elf 3500/
Elfu saba mnunulie body spray 7000/
2500/ mnunulie socks
K-Y si kwa ajiri yenu wenyew ili kurainishia papch wakat wa showDuh!! Sasa K Y akaitumie wapi?
Sikuwahi kuwa na huyo mtu wa kumpelekea
Una miaka mingapi hujapeleka zawaidi ya Valentine?
Mnunulie ped za ten (10000) na toilet paper za ten piah (10000)
200/=
mnunulie kiatu simple kama anapenda au mafuta mazuri ya kupaka. kuna mdau hapo juu kasema pads nalo ni wazo zuri utakuwa umemsave
Kwanini umesema utahitaji na sio utampa kiss?Nitahitaji kiss kutoka kwa dear hii itakuwa zawadi nzuri kwangu.
Nitampa pia kiss
Yupo ila huu mwaka zamu yake 🤣
Jamani!! K si inalainika yenyewe?K-Y si kwa ajiri yenu wenyew ili kurainishia papch wakat wa show
[emoji3][emoji3] poa msikilizieYupo ila huu mwaka zamu yake [emoji1787]
hebu cheki zawadi itakayodumu mwaka mzima na kila siku ataiangalia bei yake pia ni nzuri nayo ni kalendaKuelekea sikukuu ya wapendao 14/02/2020.
Hebu weka wazo la zawadi unayofikiri utanunua au kuandaa kwa ajili ya mpenzi/mpendwa wako ila bajeti isizidi Shilingi 20,000/=
Kwa kuweka limit ya kiwango hiki pengine itashawishi wengine wanaofikiri zawadi ni lazima iwe ya gharama kubwa.
Inaweza kuwa zawadi ya elfu 1,2,5,10 nk ilimradi isizidi kiwango tajwa hapo juu,lengo ni kuonyesha upendo na kujali bila kuangalia thamani ya zawadi.
N:B Mimi nafikiria kuandaa kuku wa kukaanga kwa kachumbari na Pepsi 1
(Nitaandaa mwenyewe Nyumbani)
Bajeti:
Kuku 1 wa kienyeji. 10,000
Pepsi take away. 1,000
Jumla. 12,000
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app