Tushauriane zawadi ya Valentine's Day isiyozidi Tsh 20,000/=

Yap,ni maamuzi tu,life is full of choices

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakua valentine ina content ya rangi nyekundu basi kamnunulie nyanya za 15000 na hivi zimepanda bei zitakuwa nyingi, atakuona wa maana sana kipindi hiki kigumu cha nyanya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hamna zawadi nzuri kama KUongea Face to Face na umpendae

tumezoea kupigiana simu kwasababu hatukai pamoja sasa hii siku

ibadilishe,mtafute Mtoe OUT mpeleke sehemu yyte nzuri tulivu unayoijua

kanyweni hata glass 1 moja ya juice sehemu yenye hadhi na assume

glass itakua 5000 x 2 = 10,000 kisha 5000 ingine iwe nauli yenu go n return

wakati mnaachana Mwambie Kwa upole na upendo Baby i have this amount for you

itumie kwa ajli ya Nauli kurudi home,sina zaidi mpenzi wangu Siku moja nitakupa

nyingi na zaidi ya hii Love.
Kisha msindikize akapande DalaDala/Bodaboda.

ONYO: Msi fanye mapenzi hii siku,acha ipite itumie ku spend nae mahali na zawadi

kubwa ya hii siku iwe ni maneno matamu na mazuri,mdekeze kuliko siku zote zile.
 
Yah umenena vyema
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pal usinisahau jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…