Tushauriane zawadi ya Valentine's Day isiyozidi Tsh 20,000/=

Tushauriane zawadi ya Valentine's Day isiyozidi Tsh 20,000/=

Flowers mm naona sio gift ambayo itamshangaza mtu alafu flowers unaweza pewa hata kila week.
Mimi naona vitu vingine vyote ni jukumu lake kuninunulia lakini flowers na cards alizoziandika yeye moyo wangu huwa unafarijika sana. Naona kama ni kitu alichokitoa kwa hisia.
Cards nizitunze halafu siku nianze kuzisoma moja moja, napenda sana.
20200204_181351_267.jpeg
 
Kuelekea sikukuu ya wapendao 14/02/2020.

Hebu weka wazo la zawadi unayofikiri utanunua au kuandaa kwa ajili ya mpenzi/mpendwa wako ila bajeti isizidi Shilingi 20,000/=

Kwa kuweka limit ya kiwango hiki pengine itashawishi wengine wanaofikiri zawadi ni lazima iwe ya gharama kubwa.

Inaweza kuwa zawadi ya elfu 1,2,5,10 nk ilimradi isizidi kiwango tajwa hapo juu,lengo ni kuonyesha upendo na kujali bila kuangalia thamani ya zawadi.

N:B Mimi nafikiria kuandaa kuku wa kukaanga kwa kachumbari na Pepsi 1
(Nitaandaa mwenyewe Nyumbani)

Bajeti:

Kuku 1 wa kienyeji. 10,000
Pepsi take away. 1,000
Jumla. 12,000

Karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Financial freedom is my only hope
 
Kuelekea sikukuu ya wapendao 14/02/2020.

Hebu weka wazo la zawadi unayofikiri utanunua au kuandaa kwa ajili ya mpenzi/mpendwa wako ila bajeti isizidi Shilingi 20,000/=

Kwa kuweka limit ya kiwango hiki pengine itashawishi wengine wanaofikiri zawadi ni lazima iwe ya gharama kubwa.

Inaweza kuwa zawadi ya elfu 1,2,5,10 nk ilimradi isizidi kiwango tajwa hapo juu,lengo ni kuonyesha upendo na kujali bila kuangalia thamani ya zawadi.

N:B Mimi nafikiria kuandaa kuku wa kukaanga kwa kachumbari na Pepsi 1
(Nitaandaa mwenyewe Nyumbani)

Bajeti:

Kuku 1 wa kienyeji. 10,000
Pepsi take away. 1,000
Jumla. 12,000

Karibuni.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hapo:
thesuccessfield-20200212-0001.jpg


Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Duh kweli watu tuko tofauti sana.. mimi nilisahau hadi birthday yangu ,x mass sisherehekei ,pasaka ndio nilishasahau.. huwa nasherehekea niki-achieve kitu nilichokua napambania au nikifanya kazi kwa muda mrefu huwa najipa ka sikukuu ka kujipoza na ugumu wa maisha..

Kwahio hayo mambo ya valentine yatanisamehe tu na baby atanisamehe kama ndio dalili za kuchapiwa acha nichapiwe tu..
Lkn deep down anajua namkubali sana hata kama sitapeleka maua mekundu
 
Back
Top Bottom