Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,918
- 13,885
Mi nakujua maana mm ndio nikiekusaidia kutafta dawa polin yakuzuia risasiMm ndo kinjekitile kama mlikua hamjui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nakujua maana mm ndio nikiekusaidia kutafta dawa polin yakuzuia risasiMm ndo kinjekitile kama mlikua hamjui.
Si nilikwambia uondoke mapema bado upo tu ama unasubiri isambaratike?
Niliwadanganya kuwa uwa unawapika supuMa alien hawataki kuja duniani kwasababu wananiogopa mimi
Yule aliekua anachota maji siku hizi yuko wapi.Mi nakujua maana mm ndio nikiekusaidia kutafta dawa polin yakuzuia risasi
Ameolewa yupo nyumban na mme wakeYule aliekua anachota maji siku hizi yuko wapi.
Naomba namba ake maana alivokua anawaogopa wajeruman.Ameolewa yupo nyumban na mme wake
Mimi NDIO wewe sasa.. Kama hutaki basijUzi huu kwa ajili ya kusema neno lolote la uongo na tunajua kabisa ni Uwongo Naanza mimi
Mimi ndo nilimuua Osama!!
Aya twende kazi
Nimepoteza sim yangu na number zake nilikuwa nimezisev humoNaomba namba ake maana alivokua anawaogopa wajeruman.
Sio kweli ni babu yakoMimi Ndiye nilimshawishi hawa kula tunda pale Eden
Na huwezi kuwa moderator.Ningekuwa Moderator huu uzi ningeufutilia mbali.
Aiseee nimecheka sanaa dah! Shauri yakoMagogoni kuna apartment kwa yeyote mwenye hitaji la chumba cha kupanga anione
Nb; aliekuwepo kaondoka na Kodi ya miezi miwili
Sent using Jamii Forums mobile app