hansluvanga
Member
- Apr 18, 2014
- 96
- 26
Kuna moja inaitwa peel smart iko vizuri sana, ninaitumiaWakuu natafuta hyo app ya remote control dvd au universal inayosauppt dvd na king'amuzi
Ipo play store?Kuna moja inaitwa peel smart iko vizuri sana, ninaitumia
Si dhani kama hiyo shida inasababishwa na ku root, hakuna uhusiano wa moja kwa moja ku root na simu na hilo tatizo hapo ni mawiliWakuu naombeni msaada wa haraka cm yangu nime root ss majanga yaliyopo kila app lock ninayoweka haifungi cm yangu yaani hapa cina amani kabisa msaada kwenye tuta nimekwamaaa!
Sio kila kifaa kina kubali hizo remote za app, hiyo app itafanya kazi kama kifaa chako kinauwezo wa wireless network kama wi-fi.Wakuu natafuta hyo app ya remote control dvd au universal inayosauppt dvd na king'amuzi
Naomba kuuliza kuroot ndo kufanyaje na process kama inawezekana na kifaa gani kinarootiwa Cm ama tabletKWA MASUALA YA DOCUMENTATION, NATUMIA WPS NA CAMSCANNER,
SPORTS, LIVESCORE, NA GOAL
MUSIC NINA POWERAMP NA JET AUDIO
VIDEO NINA MIXPLAYER NA AK PLAYER
VIDEO DOWNLOADING NATUMIA VIDEODER NA STREAMING NATUMIA MOBDRO
KUTUMIA APPS ZA KULIPIA BURE NATUMIA LUCKY PATCHER NA FREEDOM
KWA APPEARANCE NA MADOIDO MENGINE NATUMIA ARROW LAUNCHER,
AP 15 LAUNCHER (MY BEST LAUNCHER)
APPS STORE ZANGU NI BLACKMART, APTODE, UP2DOWN HUMO APPS ZOTE ZINAZOPATIKANA PLAYSTORE NAZIPATA BURE KABISA.
KU BROWSE NATUMIA UCBROWSER ONLY, SIJAKUTANA NA KAMA HYO KWA UPANDE WANGU.
NABROWSE DEEP WEB KWA MCHANGANYIKO WA ORWALL, ORBORT, ORFOX.
NIMEROOTBDEVICE YANGU SO NATUMIA KARIBIABTOOLS ZOTE MUHIM KWABROOTED DEVICE KAMA VILE, EXPOSSED INSTALLER, ROM TOOLBOX, ROM MANAGER, SYSTEMBREMOVER APPS NK.
KARIBUNI TUBADILISHANEBMAUELEWA.
KWABUSIKU HUWA NATUMIA NIGHT SCREEN,
Kuna moja inaitwa peel smart iko vizuri sana, ninaitumia
Asante mkuu ngoja nijaribu tena kuichek vizuri setting zake labda kuna sehemu nime unlock maana ni shidaSi dhani kama hiyo shida inasababishwa na ku root, hakuna uhusiano wa moja kwa moja ku root na simu na hilo tatizo hapo ni mawili
1. Android version kuanzia lollipop huwa ina auto stop, app ambazo zina run muda wote.
2. App uliyo root umeweka on hiyo app ya lock isifanya kazi hadi parmission yako.
mbona kwangu chane hazifunguki kwa nini inaniandikia mambo ya language sijui kuchagua au ndo imekufaaMOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..
Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.
Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.
Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
Imenifaa sana.
Mimi.. ninashukuru.
hapo unazikosa application zote ambazo ni paid otherwise ununue mtandaoni. ambazo ni full no adds wala matangazoJamani mimi natumia tecno W4
Je nikiroot hii sim kuna kitu applications gani nazikosa Kwa kuwa tu sim haijawa rooted?
Download kwa kutumia pc. Mim natumia CM14.1 browser yake nayo ilishindwa kudownload.Mwanzo nili update GB Whatsapp ikakubari ila saiv imegoma nifanyeje ili niweze fanikiwa
Hebu pitiaa huu uzi pole pole unaweza pata pa kuanzia...naombeni mnielekeze ni wapi ntapata tamthiliaa wanazozungumza kingereza coz kila ninazo download wanazungumza lugha zao,mfano za kihindi,telemundo kila nikiingia you yube hamna wanazoongea kingereza naombeni mnisaidie nazipataje
0759323948 link ya whatsapp plus kk nitumie whtsapMkuu sio whatsap 2 au 3 ni zaidi ya hapo hapo nimechanganya whatsap ya kawaida na whatsap plus.tatizo nashindwa kuweka link hapa ningetuma ukazidownload mwenyewe au nipe no yako nikutumie link whatsap.