Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Vidmate ni noma mkuu jana imenizimia cm kuna nyimbo nlkua nadownload ni qwl haifai kbs mkuu japo nzuri
 
Hata mi ilinitokea majuzi cha kufanya ingia Google alafu Download playstore apk(hakikisha iwe ya LATEST VERSION) alafu kama una LUCKS PATCHER (kwa walio ROOTED) ingia na ifanye kama system app,alafu restore simu yako itarejea.kwangu nilitumia njia hii na Nikafanikiwa.
Inanijibu unfortunately google.com stoped,hyo nmedownload last apk pia lucky patcher inazngua hvyo
 
Inanijibu unfortunately google.com stoped,hyo nmedownload last apk pia lucky patcher inazngua hvyo


Basi tumia mbinu hii kama una app ya ROOT EXPLORER(kama huna download)alafu ingia ukisha ingia kuna Option mbili ROOT & STORAGE ingia option ya root shuka mpaka mahali palipo andikwa ETC baada ya hapo tafuta mahali palipoandikwa Hosts.(bonyeza tick alafu click Delete baada ya hapo jaribu kuingia tena playstore). Kama haya yote hayata saidia huna budi Ku download store mbadala MF.(AIO DOWNLOADER ,APTOIDE n.k,..
 
Habari zenu wakuu....
Samahanini nina shida... Kama kuna mtu anajua cheatin trick za kufungua "zip file" ambayo iko protected
Anifundishe maana Nins documents za muhimu sana ila nimepoteza password
 
Kodi vipi sio nzuri kwa kuangalia mechi za mpira sababu ninaona inatajwa sana mobdro
 
Application ya kubackup messages kwenye simcard tokea ilipoanza kutengenezwa please
 
Vidmate bomba sana japo mm baada ya kuipakua nilionywa kuwa hii huharibu simu ni hatari nikaiondoa,
jaribu app ya peggo au tubemate kudownload video YouTube na mitandao mingine kama dailymotion n.k hizo pia ni nzuri nimesha zitumia sema saivi nipo tubemate
 
Habari zenu wakuu....
Samahanini nina shida... Kama kuna mtu anajua cheatin trick za kufungua "zip file" ambayo iko protected
Anifundishe maana Nins documents za muhimu sana ila nimepoteza password

Es file explorer
 
MSAADA WENU WAKUU.....

Cm yanguh ina tatizo ,nikidownload application inakubali shida inakuja nikiifungia hiyo application inafunguka then suddenly inakata inarud mwanzo i mean cm inajirudisha nyuma kwenye menu yake

Naomba msaada
 
cab0eafe8ec507263198f36b185e43a1.jpg

fa196e050a73c33c1b5f2013f3c521dd.jpg


Nimeupdate app sasa unaweza kuandika note na kuweka rangi unayoitaka pia unaweza kufuta note
 
Back
Top Bottom