yj!Marshmallow mwambie atafute Pc tu then aweke kingoroot hata dk 10 hazitoisha.
yah! mashallow mpaka PC ila jamaa kasema ni 4.4.2 KitKatMarshmallow mwambie atafute Pc tu then aweke kingoroot hata dk 10 hazitoisha.
Nielewesheni hii inafanya kazi gani hasaSeven Adclear
Kwaajili ya kublock Ads au matangazo ukiwa kwenye internetNielewesheni hii inafanya kazi gani hasa
Just google tu mkuu, andika text to speech.apk kama zipo utaziona tuWakuu naomba kuelekezwa app nzuri ya kuconvert texts to speech
Ni kweli asichoke mbona tutamshukuru mnoUckasrike kaka ni kuwaelekeza tu kaka..
AsanteHiyo app.
Register au log in via Facebook.
Ukotaka ku add link click kwenye add content.
Let me know kama mkitaka step by step screenshots
Mlizopata hzo hzo zinatoshaHustler Tv haipo mkuu [emoji23]..
Nahisi kuna playboy tv, kuna olala etc.
Pia kuna bein sports not super sports....
Hiyo simu ulishawahi I root?Wakuu habarini, ni matumaini yangu kuwa mko njema.
Mimi ninatatizo kwenye simu yangu ya HTC Desire 820 dual SIM
Kuna kipindi ikifika ina-restart na kuwaka yenyewe bila kuikomand kufanya hivyo
Pili nikitaka ku-install system update, wakati inaanza ku-install inafika mahali panatokea pembe tatu nyekundu yenye alama (!) Alama ya mshangao kwa ndani yake na hapo ndio mwisho haiendelei tena.
Tatizo laweza kuwa ni nini wakuu?
Nawasilisha......
Sijawahi ifanyia hivyo mkuu, je naweza ifanyia hard reset bila kufuta contents zangu kwenye simu?Hiyo simu ulishawahi I root?
Pili ifanyie hard reset ianze upya.
Fanya backup kwanza ndio ufanye hivyo maana hardreset itaanzisha upya hiyo simu.Sijawahi ifanyia hivyo mkuu, je naweza ifanyia hard reset bila kufuta contents zangu kwenye simu?
Sawa mkuu, naomba nikusumbue tena, kwenye hii process ya ku-backup lazima niwe nimewasha data? Lazima niwe kwenye internet?Fanya backup kwanza ndio ufanye hivyo maana hardreset itaanzisha upya hiyo simu.
Ku backup hakuhutaji internet.Sawa mkuu, naomba nikusumbue tena, kwenye hii process ya ku-backup lazima niwe nimewasha data? Lazima niwe kwenye internet?
Shukrani
BBC ipo?Mobdro Nzur Sanaa Ninayo Muda.