Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Wakuu nombeni msaada kidogo, simu yangu imezima tokae jana na ilitokea nkiwa naitumia huku naichaji ghafla tu display yote ikawa ya blue ndo kuanzia hapo imezingua ukijaribu kuwasha inakua ivo ya blue then inazima.
aina ya simu ni LG G3.
Naomba msaada wa jinsi ya kuifufua kwa anaejua tafadhali.
 
Wakuu nombeni msaada kidogo, simu yangu imezima tokae jana na ilitokea nkiwa naitumia huku naichaji ghafla tu display yote ikawa ya blue ndo kuanzia hapo imezingua ukijaribu kuwasha inakua ivo ya blue then inazima.
aina ya simu ni LG G3.
Naomba msaada wa jinsi ya kuifufua kwa anaejua tafadhali.
Itapotea yenyewe baada ya muda kama siku 2 hivi usifanye kitu chochote hata mini nina lg nexus 5 nilikua nachaji usiku na charger siyo yake asubuhi nikakuta ipo hivyo inasababishwa na battery overheating
 
Updated Biblia Takatifu - Kiswahili - Android Apps on Google Play
c4ad156fbc013382881b064e50a26887.jpg
8c81cb3b755d598a92bffcc7caebe9f7.jpg
 
chanel gani inayo onyesha ngono.kaka

Kuna mambo mengi sana ambayo binadamu huwa tunayapuuzia ambayo ki msingi ni msaadaa mkubwa sana kwa afya zetu na badala yake tunakimbilia madawa ya pesa nyingi sana mahospitalini. Mimi ni mmoja wa watu ambao nimeamini na ni shahidi wa Maajabu makubwa sana yaliyopo katika Glass ya maji ya uvuguvugu asubuhi kabla hujala chochote kile.

Ukijenga mazoea ya kufanya hivyo kila asubuhi ni tiba nzuri sana kwa magonjwa mengi mfano Kansa, Uchovu mwilini, Homa za mara kwa mara, Lakini pia utashangaa mwili wako utakavyokuwa fit wakati wote. Kwa maelezo zaidi nimekuwekea link ya video hapo naamini itakusaidia kujua baadhi ya faida za maji ya Uvuguvugu asubuhi. Uwe na Afya njema.




Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
 
Mbona hamna option ya kusearch neno kama ulivyo display? Au unatania ? Be serious basi.
Option ipo fungua aya yoyote utaoma kwa juu kuna alama ya search. Nitaiweka kwenye menu next update ili ionekane kirahisi. Pia long press aya yoyote kwa options zingine zaidi
98f54d7db37b4923a95f5325a25b1d2f.jpg
 
Option ipo fungua aya yoyote utaoma kwa juu kuna alama ya search. Nitaiweka kwenye menu next update ili ionekane kirahisi. Pia long press aya yoyote kwa options zingine zaidi
98f54d7db37b4923a95f5325a25b1d2f.jpg
Mkuu sana nimeona asante mnoo sasa rekebisha kwanza.

Nita share watu waipate hii bible app fr now nibora kuliko zingine. Ushauri kama unaweza kuadd pia kiingereza labda..
 
Mkuu sana nimeona asante mnoo sasa rekebisha kwanza.

Nita share watu waipate hii bible app fr now nibora kuliko zingine. Ushauri kama unaweza kuadd pia kiingereza labda..
Shukran! Nitashukuru ukishare! Namalizia changes nita update soon. Kama unataka ya kiiengereza ipo, ila kuweka zote pamoja kwenye app moja, app inakua kubwa kama 10mb hivi. Hiyo ya kiiengereza pakua hapa Bible King James Version - Android Apps on Google Play
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Back
Top Bottom