Kitchetche
Member
- Apr 2, 2017
- 71
- 78
Itapotea yenyewe baada ya muda kama siku 2 hivi usifanye kitu chochote hata mini nina lg nexus 5 nilikua nachaji usiku na charger siyo yake asubuhi nikakuta ipo hivyo inasababishwa na battery overheatingWakuu nombeni msaada kidogo, simu yangu imezima tokae jana na ilitokea nkiwa naitumia huku naichaji ghafla tu display yote ikawa ya blue ndo kuanzia hapo imezingua ukijaribu kuwasha inakua ivo ya blue then inazima.
aina ya simu ni LG G3.
Naomba msaada wa jinsi ya kuifufua kwa anaejua tafadhali.
DopeUpdated with more features!
Mbona mobdro inaniandikia no preview available tatizo ni nini?.Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Kuna mambo mengi sana ambayo binadamu huwa tunayapuuzia ambayo ki msingi ni msaadaa mkubwa sana kwa afya zetu na badala yake tunakimbilia madawa ya pesa nyingi sana mahospitalini. Mimi ni mmoja wa watu ambao nimeamini na ni shahidi wa Maajabu makubwa sana yaliyopo katika Glass ya maji ya uvuguvugu asubuhi kabla hujala chochote kile.
Ukijenga mazoea ya kufanya hivyo kila asubuhi ni tiba nzuri sana kwa magonjwa mengi mfano Kansa, Uchovu mwilini, Homa za mara kwa mara, Lakini pia utashangaa mwili wako utakavyokuwa fit wakati wote. Kwa maelezo zaidi nimekuwekea link ya video hapo naamini itakusaidia kujua baadhi ya faida za maji ya Uvuguvugu asubuhi. Uwe na Afya njema.
Ukitaka ufulahie uzuri wa mobdro uwe na network kuanzia 3g na kuendelea ila ubaya mwingine ina hustler tv kwa kuonyesha ngono tup kwa ambao wenzangu na mm weka mbali na watoto.
Pia haina tv chaneli za ndani.
Mmmnnh...chanel gani inayo onyesha ngono.kaka
Njoo whatsap kijanaangu mie nashindwa pandisha video hukuOkay hebu weka mwongozo...
Mbona hamna option ya kusearch neno kama ulivyo display? Au unatania ? Be serious basi.
Option ipo fungua aya yoyote utaoma kwa juu kuna alama ya search. Nitaiweka kwenye menu next update ili ionekane kirahisi. Pia long press aya yoyote kwa options zingine zaidiMbona hamna option ya kusearch neno kama ulivyo display? Au unatania ? Be serious basi.
Mkuu sana nimeona asante mnoo sasa rekebisha kwanza.Option ipo fungua aya yoyote utaoma kwa juu kuna alama ya search. Nitaiweka kwenye menu next update ili ionekane kirahisi. Pia long press aya yoyote kwa options zingine zaidi
Shukran! Nitashukuru ukishare! Namalizia changes nita update soon. Kama unataka ya kiiengereza ipo, ila kuweka zote pamoja kwenye app moja, app inakua kubwa kama 10mb hivi. Hiyo ya kiiengereza pakua hapa Bible King James Version - Android Apps on Google PlayMkuu sana nimeona asante mnoo sasa rekebisha kwanza.
Nita share watu waipate hii bible app fr now nibora kuliko zingine. Ushauri kama unaweza kuadd pia kiingereza labda..
Mkuu hans unaweza kuwa na link ya jinsi ya ku root infinix hot s kwa kompyuta
Vipi mkuu...mbona unastaajabu.Aisee