engelbertnobert
Senior Member
- Aug 13, 2015
- 131
- 42
Ok thx ntakupa mrejeshoHiyo sdcard yako ina free space ngapi mkuu ??
Obviously memory card huwa zinatabia ya kuchoka yaani space inakuwa ipo yakutosha lakini inakwambia space is full
Mkuu jaribu kuitoa hiyo memory card kisha jaribu kuinstal kwenye compyuta yoyote yenye virus scan kisha leta mrejesho
gb whatsapp au whatsapp plus inakupa uwezo wa kubadili mioneko tofauti tofauti na pia kuna themes mbalimbali unazoweza kuweka
pia unaweza kuinstall whatsapp zaidi ya moja ktk simu moja kwa namba tofauti tofauti hata 3 au mbili
Jirani umeset kwenye simu yako USB itumke kama chaji pekee, hebu chomeka tena then click hapo kwenye bar kaweke mediaNshabadilishaa kama 3 no positv results
Hailetiii option hiyoJirani umeset kwenye simu yako USB itumke kama chaji pekee, hebu chomeka tena then click hapo kwenye bar kaweke media
Vidmate+mobdrovidmate ni hatar
Mpyaaadownload hapo
Latest gb WhatsApp may 2017
Download app ya king root Google searchNataka ku root tecno c9 maelekezo tafadhal
Unatumia simu ya aina gani?? Usijekomaa na USB hazifanyi hivi kumbe famba a.k.a fekeroNshabadilishaa kama 3 no positv results
Download app ya king root Google search
nimekwama hapa chief msaada tafadhal
Haijajizima.root cheker inani notified bado cjawa rootedUmekwama wapi sasa Ndio tayari hiyo?
Simu,ilijizima ikawaka?
Check juu upande wa kushoto kuna viji mistari mi3,itakuambia Kama simu imekuwa rooted or not.Haijajizima.root cheker inani notified bado cjawa rooted
Check juu upande wa kushoto kuna viji mistari mi3,itakuambia Kama simu imekuwa rooted or not.
mkuu umepata angalau somo kuhusu ku-root simu wachana na hayo mamboView attachment 516286nimekwama hapa chief msaada tafadhal
Nakosa uhondomkuu umepata angalau somo kuhusu ku-root simu wachana na hayo mambo
Mkuu wacha nirejee wazo lako.nimewachamkuu umepata angalau somo kuhusu ku-root simu wachana na hayo mambo
Kama ku-root imegoma ni bora ukaachana nayo kabisa mi nili-root simu yangu virus walipotokea na kuivamia simu yangu sijui walitokea wapiNakosa uhondo
Sumsung note 2Unatumia simu ya aina gani?? Usijekomaa na USB hazifanyi hivi kumbe famba a.k.a fekero