engelbertnobert
Senior Member
- Aug 13, 2015
- 131
- 42
Ok thx ntakupa mrejeshoHiyo sdcard yako ina free space ngapi mkuu ??
Obviously memory card huwa zinatabia ya kuchoka yaani space inakuwa ipo yakutosha lakini inakwambia space is full
Mkuu jaribu kuitoa hiyo memory card kisha jaribu kuinstal kwenye compyuta yoyote yenye virus scan kisha leta mrejesho