Kama hutak simu yako kujaa tumia opera mini. Pale kwenye video address YouTube change andika Free Online YouTube Downloader: Download YouTube Videos, Facebook and many others! then ikifunguka angalia drop down upande wa kulia bofya hapo then itakuonyesha video format utadownload
Mamy usichoshwe na viumbe wa humu, kama jambo lilisha jafiliwa hiyo comment ipite kimya, ukiijibu ndio shida hiyo.Chaliii,wewe Ndio mwenye shida. Kunipigia mie ngonjera na mashairi,na uvivu wako havitakusaidia kitu.
Nishaachaa nae huyo. Toka page ya kwanza ni mobdro mobdro...Mamy usichoshwe na viumbe wa humu, kama jambo lilisha jafiliwa hiyo comment ipite kimya, ukiijibu ndio shida hiyo.
Hiyo mobdro nahisi ndio imejaza huu uzi lkn mtu anashindwa kupitia taratibu tena atapata maarifa mengi mno siku za hivi karibuni huu uzi kama umesimama hivi.
Hans Pol
Ndio
Simu aina gani?.Nawezaje kuupgrade android version kutoka 5.0.1 to 6.0.1 msaada pls
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizo app ulizo futa umeangalia zilikuwa na size gani maana nyingi una kuta hazizidi 5mb so kama ni za hivyo huwezi ona space imeongezeka.mkuu nimeiroot na nimeondoa baadhi ya pre install app lakini bado sina ROM ya kutosha
Android yangu ni jellbeans
Sony Xperia T2Simu aina gani?.
Kama ni tecno sahau only C8 ndio iliweza hiyo kitu.
Labda utumie custom rom kama zipo.
Hans Pol
Inafanyaje kazi?OGinsta+
likes for instagram
Followers assistant ndo Habari ya mujini
Sent using Jamii Forums mobile app
OG insta+Inafanyaje kazi?
Sent From Guest House
ninyo apk ambayo nimeiondoa matangazo sema limit ya kutuma hapa sijajua ni mb ngapi ila ngoja nijaribu kutumaWakuu natoaje matangazo yanayo kuja automatic kwenye simu tangu tecno w3
N:b
Sijaroot simu yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyokwan ww ni developer?
sent from my SM-galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
anhaaaa ngoja tuanze kukupa support kwa kuangalia apps zakoNdiyo