Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,069
- 3,899
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ibonyeze hiyo app unayotaka kuifuta kwa muda kidogo then zitatokea option mbili uninstall na app info slide hiyo app yako kwenye uninstall itaanza kuauninstall then kafute na ile apk file kule kwenye folder then install hii app mpya.
Inatokea hvi baada ya kuibonyeza kwa mda ,,yaan haina option ya kufutiaibonyeze hiyo app unayotaka kuifuta kwa muda kidogo then zitatokea option mbili uninstall na app info slide hiyo app yako kwenye uninstall itaanza kuauninstall then kafute na ile apk file kule kwenye folder then install hii app mpya.
Ok sasa hapo bofya hiyo alama ya X then itatokea option ya kuuninstallInatokea hvi baada ya kuibonyeza kwa mda ,,yaan haina option ya kufutia
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una wa unfollow vp wengi kwa pa1 me nachemkaMbona siipati??naomba link please
Hata Mimi hapo nimekwamaMkuu una wa unfollow vp wengi kwa pa1 me nachemka
Asante mkuu nimefanikiwa [emoji120]Ok sasa hapo bofya hiyo alama ya X then itatokea option ya kuuninstall
Hata Mimi hapo nimekwama
hebu jaribuni hii kituMkuu una wa unfollow vp wengi kwa pa1 me nachemka
poa kiongozi
mkuu hiyo window ilinishinda mkuuJamani naomba msaada wa ku-install ubuntu kwenye laptop yangu....
Kwa sasa natumia windows 8.1 pro.
Karibuni wote wataalam
miss chagga
CHIEF MKWAWA
kcamp
erick jr
Hans Pol
Na wale wote ambao sijawataja but ni wataalam wa haya makitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok.mkuu hiyo window ilinishinda mkuu
wengine wanaiwezaOk.
Nimejikuta tu nataman kuitumia aisee
Jaribu app ya shafii dauda. Au tumia azam TV app.wakuu mimi naomba mniwekee app nzuri ambayo ni ya hapa kwetu inayotoa habari za Michezo kwa wakati ninayoweza kuipata play store.
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo lako wewe hujaelewa hiyo app ulodownload imekaa wapi, ikiwa huhaisubiria imalize kudownload kisha wanakwambia" open"
Nawaoona..Naombeni link ya Mobdro
Msiwe wavivu kupatia nyuzi, ilishatolewa huko comment za nyuma