Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

https://jamiiforums.com/uKTmjB40QX

Ukijiunga unapata vocha na ukialika wengine unapata vocha nyingi zaidi.
 
Ningependa kuwashirikisha kwenye hii program inayofahamika kama DENT wako wanao ifahamu nawengine kwa bahati mbaya au nzuri hawaifahamu.

Program hii inakupa vifurushi vya bei nafuu na pia inakupa salio la zaidi ya shilingi 5000tzs mara tu utakapo jiunga.

Na kizuri zaidi utaweza kutoa papo hapo kwenye mtandao wowote utakaopenda


Check

https://jamiiforums.com/Ych5OLYcQX
 
Ok mkuu
 
DENT
Program hii inakupa vifurushi vya bei nafuu na pia inakupa salio la zaidi ya shilingi 5000tzs mara tu utakapo jiunga.

Na kizuri zaidi utaweza kutoa papo hapo kwenye mtandao wowote utakaopenda

Link

https://jamiiforums.com/Tovzs7sxQX

Tanbihi:Link hiyo niliyoitoa ni refferal link ukijisajili kupitia link hiyo wewe na mimi tutapokea 690 dent bila ya wewe kupungukiwa na chochote.
Jumla utakuwa na dent 1280 ambazo 690 ni bonus ya kualikwa na 590 kama welcome bonus ambazo zina thamani ya shilingi 5000tzs.
 
Tunein iko poa sana
Sikosi kuitumia karibu kila siku, nasikiliza sana BBC World Service kwenye Tune In. Halafu hata nikiwa mbali na TV au naendesha gari naweza kusikiliza habari za CNN.

Nikitaka Bongoradio pia imo, nikitaka kusikiliza Reggae naenda Raggakings, chochote unachotaka utakipata, nafikiri hata Clouds FM na redio kadhaa za Tanzania zimo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…