Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Wakuu nilibiwa Laptop mwaka jana na nilkua nimeweka App ya kuficha mafaili yangu ya siri picha na videos inaitwa My Calculator ila sasa kila nikijaribu kuitafuta siipati popote ili niidownload tena. Mwenye uelewa kidogo please
 
Za kwangu hizi hapa
1. LinkedIn - hii ni kwa ajili ya connection za kiproffesional na michongo ya kazi na project za hapa na pale.
2. Twitter- huku kwa ajili ya ku-hang na kujua habari za hapa Tz na duniani kwa ujumla.
3. WhatsApp hii kwa ajili ya family and friends
4. Freebasics hii naitumia napokuwa sina bundle kuingia JF na kwenye mitandao kama BBC na Wikipedia
5. Dropbox - hii kwa ajili ya kuhifadhi na kupokea file kubwa za kiofisi na nyinginezo
6. Drive - kwa ajili ya kuhifadhi files
7. OneDrive- kwa ajili ya ku-share documents mbalimbali
8. WPS office- kwa ajili ya PDF file and MS office files
9. VLC kwa ajili ya audio na video files
10. Jiji - hi app ya TZ kwa wanaouza na wanaotaka kununua vitu.
 
Za kwangu hizi hapa
1. LinkedIn - hii ni kwa ajili ya connection za kiproffesional na michongo ya kazi na project za hapa na pale.
2. Twitter- huku kwa ajili ya ku-hang na kujua habari za hapa Tz na duniani kwa ujumla.
3. WhatsApp hii kwa ajili ya family and friends
4. Freebasics hii naitumia napokuwa sina bundle kuingia JF na kwenye mitandao kama BBC na Wikipedia
5. Dropbox - hii kwa ajili ya kuhifadhi na kupokea file kubwa za kiofisi na nyinginezo
6. Drive - kwa ajili ya kuhifadhi files
7. OneDrive- kwa ajili ya ku-share documents mbalimbali
8. WPS office- kwa ajili ya PDF file and MS office files
9. VLC kwa ajili ya audio na video files
10. Jiji - hi app ya TZ kwa wanaouza na wanaotaka kununua vitu.
Hiyo free basic ni app Au web......Tuma link ntag mzee baba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haina kwaliti hiyo.......Kebodi za walioingia mjin leo.........!! tafuta mai foto kibodi.....Unaset picha,unadisaini fonti unayotaka na kachumbari kibao

Sent using Jamii Forums mobile app
blaza umetumia vizuri lakini io fancy mana izo mbwembwe zote ila yenyewe ina mbwembwe zaidi nimewai kuitumia my photo gaina mambo mengi zaidi ya picha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom