Ina font za kutosha na vikolombwezo kibao labda version yako ilikuwa ya oldblaza umetumia vizuri lakini io fancy mana izo mbwembwe zote ila yenyewe ina mbwembwe zaidi nimewai kuitumia my photo gaina mambo mengi zaidi ya picha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
labdaIna font za kutosha na vikolombwezo kibao labda version yako ilikuwa ya old
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina font za kutosha na vikolombwezo kibao labda version yako ilikuwa ya old
Sent using Jamii Forums mobile app
wakuu hivi hakuna app nyingine ya kudownload application zaid ya play store?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia LightX ina mengi mazuri mpaka hayo uyatakayo kuyafanya!naomba kufaham app nzuri ya kutoa au kufuta stiker zilizowekwa kwenye picha ili kuficha sura, sehem fulani ya mwili au maandishi fulan au namba ya simu
Sent using Jamii Forums mobile app
ALL IN ONE TOOLS inasaidia sana kutambua kisichohitajika kwa phone yako na inakubakishia space nzuri tuu kwa simu ya android lakini.Guys naweza pata app ambazo inaongeza space kwenye simu???natumia vile visimu vya vodaphone sasa kina 2gb kinajaa haraka kweli na kuna muda hakifanyi kazi kikijaa zaidi memory card inasoma ila haifanyi kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ya Hivi.. ukitaka audio kwa Status lazima iwe ndani ya mfumo wa video. labda kama sijui mapya yanayojiri...
Window launcher Icheki playstoreii launcher inaitwaje mkuu
Sent using motorola 78
computer launcherii launcher inaitwaje mkuu
Sent using motorola 78
kwakongezea tuu, inapendeza kwa device zenye kioo kikubwa hasa tablet na pads
Nenda kwenye call setting deactivate hiyo option!!..Wataalamu habari ya jioni!!
samahani naomba kufahamishwa kuhusu hili jambo.
nikipiga simu naandikiwa hivi: CONDITIONAL CALL FOWARDING ACTIVE. hii ina maana gani wakuu???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka hivi naweza kuroot infinix hot 8 bila computer?Tumia towel root
System app removerWadau kauna app gani nzuri ya ku move file kutoka kwenye internal storage ya simu kwenda kwenye external storage ya simu(SD)
Sent using Jamii Forums mobile app