Liko Play store?.la mabas mkuu liko poa sanaView attachment 1597390View attachment 1597391
Umezungumza vyema mkuumambo ni mengi sana,ndio sababu tuanshauriwa kununua simu nzuri zenye processor nzuri pia.
nilikuwa na sony g3262,ni mediatec chipset lina ram 4gb ila zito lina crash vitu kibao.
Tafuta app inaitwa FaceApp ina hiyo feature.cjui hata nikuelekeze vipi kwa mfano umepiga picha eneo flani ila hutaki vitu vilivyo nyuma yako vionekane sasa kuviwekea shade fulani visionekane kwa mbali ndo nachotaka yaani ibaki picha kama picha nimejaribu brul ila wanazingua sio app nzuri uki edit picha inatia shade mpaka picha yenywe xo inakuwa haina mwonekano mzuri!!
Tafuta app inaitwa FaceApp ina hiyo feature.
Japo kwa ufanis zaidi yakupasa ujiongeze kidogo.
Daah hii simu nahitafuta sana mwenye nayo anicheki tufanye biasharaDah natumia H6 TECNO nitumie root gani kwenye hii simu iweze kuroot
Unaweza kufafanua vizuri kidogo hapo kwenye binary mkuu?Xperia njia rahisi ni hyo ya kingroot ila pia unaweza shift from king user to super user kwa ku update binary via super sume app hii itakuletea super su from king user
Duuh!!Mkuu hiyo super sume ilinilaza na mawazo daaah nilijuta nili intall simu wakati wa kujirestat ikawa inogomea kwenye logo ya tecno. Ilinibidi buku10 initoke leo kuiflash simu yangu.
Comment ya 2016 una ni quote leo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Duuh!!
Kwasasa simu nyingi zina mifumo tofauti ya ku Root tena 99% lazima pc ihusike si kama miaka hiyo.Unaweza kufafanua vizuri kidogo hapo kwenye binary mkuu?
Sawa mkuuKwasasa simu nyingi zina mifumo tofauti ya ku Root tena 99% lazima pc ihusike si kama miaka hiyo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Comment ya 2016 una ni quote leo [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
.yah mkuu liko playstoreLiko Play store?
Unataka app gani ?? Zipo store nyingi sanaWakuu habari za hapa jukwaani.
Naomba msaada wa ku- download apps za kulipia bure.
Sijawahi kufanikiwa kupata hii kitu ingawa nimesikia story nyingi tuu za uwezekano wa kula bila kukaribishwa
Sawa mkuu ngoja nijaribu kupakua hii aptoide nione.Unataka app gani ?? Zipo store nyingi sana
Kuna aptoide au happymood au ac market au apk4all au blackmart
Ni wewe tu
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app