Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Kuna app inaitwa should I answer hii inafanya kazi kwaApp nzuri ya ku block calls uwe haupatikani kabisa sio iwe inasema namba inatumika ni ipi?
Simu nyingi zina uwezo wa ku-hide apps. Unaweza kuficha apps zote ambazo hautaki zionekane.Na vile vile nikiipakua ina uwezo wa kujihide yenyewe akiwa anaangalia app asiniulize hii ni ya nini?
Ok swali la pili lishaishaSimu nyingi zina uwezo wa ku-hide apps. Unaweza kuficha apps zote ambazo hautaki zionekane.
La kwanza soma comment hii Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android.Ok swali la pili lishaisha
Ilo la kwanza sasa
[emoji275][emoji275][emoji275]Nahitaji hii piaa aisee
google mapMwenye App ya kuonyesha Location ya wewe ulipo kimfano una safiri ionyeshe location yako na unapoenda yani kile ki location kiwe kina run.
lazima ulocate unako kwenda kwa kutach sehemu then app ina calculate muda na ulipo unapokwendaMbona Google Map haina hii Option inaonyesha tu location uliopo lakini hairun.
screenshot then itume apaNa Icon yangu ya Location inakuwa ina Run?
tuna zungumzia location fazaGoogle translate
Iko poa
We mwanamke nilipanga kukulipia mahari ila na ahirisha..... Sio kwa ujasusi huu.Kuna app inaitwa should I answer hii inafanya kazi kwa
1. Kuzuia simu zisiingie kwa kuzikata.
2. Kuzuia simu zisiingie (hapa zinaita kwao ila kwako hazitaita kabisa) look, inaonekana kama haupokei simu na sio unakata.
3. Kwa kujipokea yenyewe na kisha kukata.
Hii ni unaweza ukachagua namba moja au ukaweka namba zote ambazo hazijawa saved kwenye contact yako yani namba mpya.
Hii inamaanisha hata anayekupigia akitumia namba nyingine bado hatakupata.
Baadae unaweza ukaona namba zote ambazo zimekupigia kama utataka.
Dunia yaenda kasi sana leo tunazungumzia android version 10Ni apk nzuri sana Mimi nimeipata hapa
Mobdro — All the web’s free video streams on your Android device
haigomi haikatai kwa kimeo cha aina yoyote alimradi iwe kuanzia
4.1/
Mdau luck patcher kwangu haifunguki kabisaWakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Music match inauzwa mdau tatizo hiliKwa Upande Wa Security Avast Kwangu Ni Bora, Inakuwezesha Kuipata Simu Kma Imeibiwa Au Kupotea Kwa Kutumia App Yake Ya Anti- Theft. Ina Automatic Scan Unaset Kila Siku Muda Flan Inascan Simu Na Kukupa Repot Kma Kuna Tatizo/App Inayoweza Iathiri Simu Inakwambia. Kwa Upande Wa Music Kuna Music match Hii Inakuwezesha Kuplay Music Huku Ikidisplay Lycis Za Nyimbo Unayoplay, Pia Ina Music ID Inayokuwezesha Kuitambua Nyimbo Usiyoijua Ila Unaisikia May Be Unaitaka Labda Inapgwa Radion Ila Aujui Kaimba Nani Na Unaipenda Unaweka Music I'd Inakwambia Jina La Wimbo Na Muimbaj Hapo Hapo Inakupa Options Ya Kuudownload Huo Wimbo. Ina Option Ya Kucreat Card Via Lycis Inayodisplay Pindi Unapoplay Music. Kuna Tunein Radio Inakuwezesha Kusikiliza Radio Maeneo Ambayo Radio Ya Kawaida Aikamati Inazo Local Radio Zotee Pia Ina Radio Za Nje Kibao Na Zinazopga Miziki Ya Taratibu Ya Zamani Kuanzia Miaka Ya 80 Kuja Juu. Kuna App Nyingi Nzur Sanaa.
Musix match inauzwa mdau nifanyaje niipate ya bure
Hizi kwangu ndio kila kitu"
Insta Snapchat Twitter Na Tapatalk (Jf) hizo kama social media.
Whatsapp Hangout for sms conver
Zedge Kupata Wallpaper kali HD na ringtons.
Befunky kuedit pic na Photogrid kuresize photo kwa ajil ya Whatsapp dp and Instagram.
Poweramp kwa ajili ya music inanguvu sana.
MusixMatch for lyrics ukiplay music inadowload lyrics automatic
Videoder kudownload Videos mpaka mp3 direct from Youtube.
Opera as browser
Kwangu inagoma kufungua iyo luck patcher mdauBest App ni Luckypatcher.
-Lucky Patcher kwenye android itakusaidia , kuondoa matangazo,break different apps' Android Market License Confirmation or other Confirmations for the applications. Unahitaji kuwa rooted.
Mfano,uki download kitu program ambayo si premium kwenye Android baada ya kuinstall fungua lucky patcher tafuta hiyo program ,open menu of patches, patch utapata premium version.
Vile vile games zote you can hack them for free.
sio kila simu ina uwezo huo waku amisha kwnye external storageMsaada wadau njia rahisi kuhamisha app kutoka internal storage kwenda sd card??