k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 966
- 1,084
Sm janja siku hiz zinakuja zikiwa na uwezo huu automaticHivi app ya kuficha apps ulizonazo kwenye simu ilipatikana humu kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sm janja siku hiz zinakuja zikiwa na uwezo huu automaticHivi app ya kuficha apps ulizonazo kwenye simu ilipatikana humu kweli?
Ndio nn mkuuAnayehitaji Dstv cracked aje pm
Mimi najua kuna simu zinatoka na hiyo feature, ila kama simu yako haina hiyo feature tumia Microsoft Launcher, Nova launcher na pia kuna Vault apps zipo kibao nje ya Playstore tafuta kwa Google, unapo search kumbuka kuandika neno pro au premiumHivi app ya kuficha apps ulizonazo kwenye simu ilipatikana humu kweli?
Ye ndio bread earner?Acha tu mwenye nyumba anajua kuuwasha moto bana
Tumia hiyo smartphone ku divert calls za hiyo line. Maana setup zipo kwa hiyo smartphone si unaweka namba inayotakiwa kuwa diverted.Kuna app au namna ya kudivert namba hasa sms toka symbian phone( simu za kawaida ambayo sio smart) kwenda kwenye android phone (smart).Msaada please
Hizo apps za ku-download movies with subtitles sometimes hazifanyi vizuri, nakushauri kama wewe ni muangaliaji wa movies za Hollywood tafuta subtitles kwenye websites za Subtitles.org au yiffy movie subtitlesMimi wakuu naomba kujua app nzuri ya ku-download movies with subtitle.
Shukrani sana.
NDio hii masai?Mkuu asante sana. Nimefanikiwa, the best photo editor ever! Ina mambo mengi sana
View attachment 439018
Download app inaitwa 'Bittorent Pro' , search kwenye Google usiende Playstore maana kule Pro inauzwa lakini uki search kwenye Google unaipata Bittorent Pro bure kabisa. Baada ya ku install hiyo app nenda kwa website hii YIFY Movies Torrent Download - YTS Baada ya hapo uta download movies kwa kubonyeza alama ya sumaku (Magnet link) na zitaenda moja kwenye 'bittorent' kumaliza hatua za ku downloadNafanyeje nipakue movies latest za hollywood kwa simu?
Ipo hiyo inaitwa 'Drupe dialer' ni nzuri sana, lakini kutokana na Android terms kurekodi voices wakati wa call wamezuwiaJe kuna app tofauti na true caller yenye kurekodi maongezi pia na kujua anaekupigia?