Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Samahan Mkuu,hizi unalipia au ni bando lako tu?halafu hyo yacine tv kila nikii download inanigomea kuonesha hzo channel zake sjawaj kuona ikikubal hata sku 1
Hulipiii ni wewe na bundle lako tu mkuu..yaccine ili iweze kuplay inabidi uwe na apk inaitwa TPLayer ipo google haipo playstore
JPEG_20231006_122027_4674478749746192986.jpg
 
Mkuu njia hiyo ya kwanza mdio itakuwezesha kuangalia mpira...nenda kwenye google katafute app inaitwa SPORTS FIRE .. au Yaccine tv hizo zitakupa burudani unachagua tu uangalie channel za nch ganiView attachment 2771902
Hapa nacheck package ya dstv south africaView attachment 2771906

Mkuu hii sports fire imekubali,vp quality ya picha hakuna sehemu ya settings zake?maana kwangu quality sio nzuri au itakuwa speed ya internet yangu ndyo shida
 
Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...

Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Kuna apps nyingine inaitwa videorder matata sana
Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...

Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Naomba kujua app nzuri ya kupima urefu. Mfano ukuta wa nyumba.
 
Kitu kama hicho mkuu sina uhakika ....kama hawana playstore basi watakuwa na store yao jaribu kuangalia tv yako
Kila smart TV ina OS yake kulingana na Company, isije kuwa anatumi kampuni ambazo wana mifumo yao mfano Apple smart tv hawana play store, na baadhi ya smart tv wana OS zao ambazo hazina mifumo endeshi ya android hivyo huwezi kuikuta playstore.

Tuwe tuna soma maelekezo ya Tv kabla ya kununua
 
2: Avast Anti theft
- Download version ya kawaida kwenye playstore. Patch kwa Luckypatcher utapata premium version.
Hii avast ukiiweka huwezi poteza Android yako. Hata ukiibiwa unainaweza kuitrack kwenye website ya avast. Hata kwa SMS kupitia simu y mtu unaweza kuifunga, kuiuliza simu ilipo ikakutumia location via email through Google map.
Mwizi akibadilisha line itakwambia line iliyowekwa na number yake.Just Google it utapata faida zake
Naomba link ya hii app
 
MOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..

Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.

Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.

Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
Hiyo application kama hutumii wi-fi connection achana nayo utanishukuru
 
Back
Top Bottom