mtoto wa kibopa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,274
- 6,257
Hulipiii ni wewe na bundle lako tu mkuu..yaccine ili iweze kuplay inabidi uwe na apk inaitwa TPLayer ipo google haipo playstoreSamahan Mkuu,hizi unalipia au ni bando lako tu?halafu hyo yacine tv kila nikii download inanigomea kuonesha hzo channel zake sjawaj kuona ikikubal hata sku 1
Hiii apa yacciceSamahan Mkuu,hizi unalipia au ni bando lako tu?halafu hyo yacine tv kila nikii download inanigomea kuonesha hzo channel zake sjawaj kuona ikikubal hata sku 1
Ndio mkuu ipo kwa tv na ipo kwa simu.Hii ni apps ya kuangalizia movie online?
Vp ulaji wake wa bundle upoje mkuu?Ndio mkuu ipo kwa tv na ipo kwa simu.
Sijajua mkuu me natumia fiber so nimechomeka kwa tv wire wa ethenet
Hiii apa yacciceView attachment 2773426
Mkuu njia hiyo ya kwanza mdio itakuwezesha kuangalia mpira...nenda kwenye google katafute app inaitwa SPORTS FIRE .. au Yaccine tv hizo zitakupa burudani unachagua tu uangalie channel za nch ganiView attachment 2771902
Hapa nacheck package ya dstv south africaView attachment 2771906
Yes itakuwa internet yako tu mkuu.Mkuu hii sports fire imekubali,vp quality ya picha hakuna sehemu ya settings zake?maana kwangu quality sio nzuri au itakuwa speed ya internet yangu ndyo shida
Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Kuna apps nyingine inaitwa videorder matata sana
Naomba kujua app nzuri ya kupima urefu. Mfano ukuta wa nyumba.Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Instabrige inakufaa kama unaweza code cheza na termuxWadau kwemaa,
Naomba kujuzwa app ipi ambayo itanifanya kupata password za public wifi
Kila smart TV ina OS yake kulingana na Company, isije kuwa anatumi kampuni ambazo wana mifumo yao mfano Apple smart tv hawana play store, na baadhi ya smart tv wana OS zao ambazo hazina mifumo endeshi ya android hivyo huwezi kuikuta playstore.Kitu kama hicho mkuu sina uhakika ....kama hawana playstore basi watakuwa na store yao jaribu kuangalia tv yako
Naomba link ya hii app2: Avast Anti theft
- Download version ya kawaida kwenye playstore. Patch kwa Luckypatcher utapata premium version.
Hii avast ukiiweka huwezi poteza Android yako. Hata ukiibiwa unainaweza kuitrack kwenye website ya avast. Hata kwa SMS kupitia simu y mtu unaweza kuifunga, kuiuliza simu ilipo ikakutumia location via email through Google map.
Mwizi akibadilisha line itakwambia line iliyowekwa na number yake.Just Google it utapata faida zake
Haya mzee, nmeshanyakua pixel 4a 5G vp hapo.?Nunua simu mzee. Tecno sio simu
Una premium version unisaidie mkuuTumia true caller
Naomba ufafanuzi hii app nafichaje SMSGo Sms Pro
Nitumie hio Azam maxUmefunga pm
Ku identify unknown callersWakubwa hii app ya true call inasaidia nini kwenye simu?
Chief-Mkwawa
Hiyo application kama hutumii wi-fi connection achana nayo utanishukuruMOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..
Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.
Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.
Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk