ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Inakula sana bundle mkuu sasa kama ana vitu vingi ita mcostdownload google photo ipo playstore,unachofanya ni kuzi upload picha na video huko hazioni na mtu,zaidi yako mwenyewe,alafu unazifuta hizo picha na videos kwenye simu yako,picha zina baki.na ukubwa wake ule ule,tumia hiyo ni njia nzuri sana
Spotify kwa mziki imetulia sana.Ni app nzuri. Sema i prefer spotify
Spotify yenye icon ganiSpotify kwa mziki imetulia sana.
wife map ipo play storeAppl gani nzr kwa free WiFi
tubematerHiyo videoder nmeitumia kiukweli ni app nzuri Sanaa. Msaada wa app nnaweza tumia download videos/music kwenye iPad
Poweramp uki root simu ni simple sana kuicrack.Kuna mtu humu alisema aliwahi kudownload cracked version ya power ramp player msaada tafadhali jinsi ya kudownload
mkuu inakazi gani hyoPoweramp uki root simu ni simple sana kuicrack.
Lkn hizo za kudawnload hazichukui muda ile key inagoma.
Ni music player ipo vzr sana,hata kama una earphone za 3000 inagonga music hatari nenda play store uchukue trial yake inakaa kwa siku 14.mkuu inakazi gani hyo
Sio lazima kuroot ndio uweke custom rom.kama samsung kuna program inaitwa odin mimi ndio naitumiaa kubadilisha hizi rom.
Mkuu nmeijaribu lkn ina play tu haidownload, inanilazimu kuplay online. Msaada zaid km inawezekanatubemater
mkuu nimeikubaliNi music player ipo vzr sana,hata kama una earphone za 3000 inagonga music hatari nenda play store uchukue trial yake inakaa kwa siku 14.
mkuu mm ndo ninaitumia kudonload vidio haipo play storeMkuu nmeijaribu lkn ina play tu haidownload, inanilazimu kuplay online. Msaada zaid km inawezekana
Mkuu nmeijaribu lkn ina play tu haidownload, inanilazimu kuplay online. Msaada zaid km inawezekana
Ifanyie setting vizuri then uta toa comment mwenyewe.mkuu nimeikubali
Mkuu umemaanisha tubemate au ipo nyingine inaitwa tubemater?tubemater
Niliweka rom official ya samsung s4 nasimu haikuwa rootedrom gani uliweka bia kuroot simu? tena kwa kutumia 0din