IL Capitano
JF-Expert Member
- Jun 30, 2014
- 216
- 123
kwa juu huwa kuna mshale wa kijani unaoelekea chini uclick ..ukifanya hivyo itakuja aina ya picha/video resolution ambayo unataka... chini yake ule mshale wa kijani utakuwepo utauclick then itaanza kudownloadSamahani wandugu naomba msaada namna ya kupakuwa nyimbo kutoka u-tube maana mie huwa naishia kutizama tu sijui jinsi ya kupakuwa kutoka huko na nikiangalia sioni sehemu ya kupakua kutoka huko
Ndio wadau wanatoa ushauri tumia hizi appSamahani wandugu naomba msaada namna ya kupakuwa nyimbo kutoka u-tube maana mie huwa naishia kutizama tu sijui jinsi ya kupakuwa kutoka huko na nikiangalia sioni sehemu ya kupakua kutoka huko
Download tubematerSamahani wandugu naomba msaada namna ya kupakuwa nyimbo kutoka u-tube maana mie huwa naishia kutizama tu sijui jinsi ya kupakuwa kutoka huko na nikiangalia sioni sehemu ya kupakua kutoka huko
Andika download u torrent on pc watakuleteaJamani mwenye link ya u torrent ya kwenye pc atupie hapa
Show box itakidhi haja yakoNatafuta app itakayoniwezesha kustream movies online au kudownload....natanguliza shukrani
Mobro pia itakufaaNatafuta app itakayoniwezesha kustream movies online au kudownload....natanguliza shukrani
Hii inafanya kazi gani? Tueleweshane jamaniMsaada jinsi ya kuinstall call of Duty black ops 2 maana nikiifungua inakuwa black halafu inaonekana unhandled exception error
Mkuu hili ni game ila samahani nilitoka nje ya madaHii inafanya kazi gani? Tueleweshane jamani
Umejaribu ku run as administrator?Msaada jinsi ya kuinstall call of Duty black ops 2 maana nikiifungua inakuwa black halafu inaonekana unhandled exception error
Nimejaribu mkuuUmejaribu ku run as administrator?
Mkuu nini maana ya kuroot na unafanyaje? Msaada tafadhariSimu ikiwa rooted unatumia app nyigi 2 za kulipia free mandela, hivo simu ya jamaa ame root
Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Unatumia pc gan? Driver, direct x, na Redistributable Package zipo sawa? Na hilo game liko Okey?Nimejaribu mkuu