Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Jaman hv kunauwezekan watu tukawa tuna tuma sms free bila kuchargiwa ?kama ipo njia tupeyane maujanja
 
Jamani naomba kitonga ya bando,maana hapa kitu mabrob ni noma nimeshaunganisha kwenye big screen.na kitonga ya app za kulipia, najua jf ni noma nimepata mengi sana humu ndani.
 
unacconect vip
 


Utamu umerudi wale wazee wa hustle tv na playboy tv zile tv pendwa zimerudiii mambo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] yetu yaleee

Mkuu kibajajitz,
Naomba unijuze jinsi ambavyo umeweza unga MOBDRO ya kwenye simu kwenye laptop? au jinsi unavyoweza kuunga kwenye Samsung tv series 4, I mean nitumie kiunganisho gani? NITASHUKURU sana mkuu
 
Mkuu kibajajitz,
Naomba unijuze jinsi ambavyo umeweza unga MOBDRO ya kwenye simu kwenye laptop? au jinsi unavyoweza kuunga kwenye Samsung tv series 4, I mean nitumie kiunganisho gani? NITASHUKURU sana mkuu
Mkuu kama unataka kwenye laptop uweze kuweka application za simu nenda google tafuta sotware inaitwa phoenix.link ya hii software ipo humu kwenye hii threads alileta chief mkwawa.kuhusu kwenye simu kwenda kwenye tv hakikisha tv yako ni smart ili uweze kushare na mirroring pia simu yako iwe na hiyo mirroring pia kwa njia nyengene kama tv yako sio smart lakini ina usb na hdmi inafaa ila itatakiwa uwe na simu yenye uwezo wa mhl to hdmi ili kusupport hiyo kitu.
 
mkuu kam unaweza weka hizo link weka.. tu maana huku playstore naona km znakuja nyng zinanichanganya .. na logo yake km vp tupia
 
Naomba msaada jinsi ya kuinstall kweny PC MOBDRO and jee kwenye IPHONE'S kunajinsi yakuinstall..??
 
mkuu kam unaweza weka hizo link weka.. tu maana huku playstore naona km znakuja nyng zinanichanganya .. na logo yake km vp tupia
Duuuh sio google playstore ni Google kabisa.sorry wakuu.hii ni una install kwa laptop then waweza weka apk zote za android bila shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…