Aisee msaada kidogo nilikua nayo hiyo app nikarest simu baada ya ku download upya keepsafe na ku login kwa email yangu inakataa nifanye vipi hapo?Me natumi KEEPSAFE kaz ya app hii na faida yake ni kuifadhi picha ukidowload unaikingia kwa kutumia email na password inaifadhi picha ata simu yko ikipotea na pale utaponunua simu nyngne basi picha zako utazikuta pamoja na videos na documents nyngne unazotaka kuifadhi
gb whatsapp ipi maana nililetewa nyingi .... ikiwezekana naomba link mkuuHata mimi naomba unielekeze best appilication ya masuala ya geography ama historia. Ila kwangu best appliacation ni gb whatsapp, pocket, google crome, beauty plus camera
Tumia TFS LAUNCHER... ipo play store na ni bure kabisa... ni 3D na utaipenda.Luncher gani nzuri katika simu? Natumia tecno j8 na je hazina madhara let's say inaharibu performance ya simu au kuwa nzito.?
Haina madhara yyte?Tumia TFS LAUNCHER... ipo play store na ni bure kabisa... ni 3D na utaipenda.
Download dream league soccer ya first touchwakuu natafuta game ya mpira ambayo naweza kucheza nikiwa offline(bila internet)
Kama ume dawnload kutoka playstore hiyo sio itafute google sio play storejamani wa hyo mobodro mbna sioni channels..?
Hiyo simu os yake ni window, haiwezi endesha app za android. Jaribu kuangalia app jf for windowsWadau, mimi natumia Microsoft Lumia 650. Nitapataje JF android? Natumia web kama vile natumia kompyuta.
Vv
Mimi huwa natumia iTop launcher ipo simple and easy.Tumia TFS LAUNCHER... ipo play store na ni bure kabisa... ni 3D na utaipenda.
ChajiHaina madhara yyte?
Ukirestore kwan siitakua rooted mkuuHata mi kwangu ilikuwa hivyo,ila kuna mtu akanishauri ni restore baada kufanya hivyo mambo yakawa safi
Madhara yapo kwenye utumiaji wa chaj.Haina madhara yyte?
Jaribu na iTop launcher...Aisee nimeshusha hiyo launcher kwenye kamchina kangu, aisee ni[emoji106]
Hii beauty plus camera mbona inakua na record fupi za video tatzo ni ninigb whatsapp ipi maana nililetewa nyingi .... ikiwezekana naomba link mkuu