Anzia hapaHivi kuroot kuna maana gan?
chenga tyuu cjaelewa chochote, ngoja niendelee kutumia km ilivyo kwan kila kitu nakipata
Pole sana mkuu ku ROOT simu ni raha.chenga tyuu cjaelewa chochote, ngoja niendelee kutumia km ilivyo kwan kila kitu nakipata
Watu wanatoka waliko toka huko wanakuja kutuharibia utaratibu huku.Oya mnazingua mazee na hayo manamba yenu
raha ipi unaipataPole sana mkuu ku ROOT simu ni raha.
Hii hapa kiongiziNaomba App ya kuedit Music na kukata ikiwa kama nmedownload wimbo una matangazo
Raha ni ukishajua faida za ku root simu na kwanini unataka u root.raha ipi unaipata