Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani unaweza tena rahic sanaNaweza nikA root tecno y3
Nafanyaje mkuu kama vip nipe na linkYani unaweza tena rahic sana
ŋɩkaɟųa ŋɩ kwaŋɠų tų kųmbҽ ŋɩ tatɩʑɷMsaada :
Hii parallel space inajaza nafasi kwenye simu yangu. Yaani mpk naambiwa storage runs out. Wapi naweza futa huu mzigo bila kusumbua hii app. Maana nimefuta cache zote but bado inasogea tu. Ilikuwa 70 MB but now iko 138mb
Tumia king rootNafanyaje mkuu kama vip nipe na link
Nenda playstore dawnload Popcorn apk...Mwanzo nlkua na download movie Show box.sasa imegoma cjui tatzo nn
I uninstall kisha ukaidownload upya siyo kwa hiyo tu apps nyingi zinagoma kufanya kazi kama huja zi updateMwanzo nlkua na download movie Show box.sasa imegoma cjui tatzo nn
Haya kwa wale wapenzi wa insta au 'kiki' pakua hii app inaitwa real followers for instagram ujipatie free followers na likes za kuvente...Wakuu tuambizane katika experience ya apps zipi ambazo unaona bila hizo huwezi kuona thamani ya simu yako...
Mi naanza na mobdro app noma sana
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
============
Haya kwa wale wapenzi wa insta au 'kiki' pakua hii app inaitwa real followers for instagram ujipatie free followers na likes za kuvente...
View attachment 436888View attachment 436889View attachment 436890View attachment 436891
ImeshawekwaWadau iyo video call watap wanaweka lin
Weka link ya kupata hilo toleo, maana playstore bado halijawekwa.Imeshawekwa
WhatsApp 2.16.358 (451511) APK Download - AndroidAPKsFreeWeka link ya kupata hilo toleo, maana playstore bado halijawekwa.
Uki update tu inakubaliWeka link ya kupata hilo toleo, maana playstore bado halijawekwa.
Nimeshafanikiwa mkuu...Uki update tu inakubali
utakua umekosea step ktk kuiflash au iyo rom ulioweka labda haiko compatible na cm ykoMSAADA
Nimeflash galaxy note 2 kwa software aina ya cm11, software imekubali kuflashi lkn camera inakataa (cant connect camera). Naomba mwenye kujua solution anisaidie.
Ok pamojaNimeshafanikiwa mkuu...